Jana katika taarifa ya habari ya saa mbili, uliwahoji watu kuhusu kubomolewa jengo la Tanesco Dar. Wote walipongeza kubomolewa! Ni kweli wote uliowahoji walipongeza libomolewe. Hakuna aliyetoa maoni tofauti? Mbona tunaona maoni tofauti mitaani na "wengi" wakipinga ubomoaji? Wakitafuta namna ya kulikwepesha lakini barabara zijengwe! We wa kwako uliwatoa wapi?