Beki tatu kamchemshia mwanangu parachichi

Mimi ma beki tatu wote wazuri ila tatizo mama mwenye nyumba, daah akinikuta nnamuelekeza dada namna ya kufanya usafi hasa katika vifaa vyangu vya electronics lazima apate wivu, baada ya wiki utashangaa dada anaaga anasema kaka wewe mtu mzuri sana isingekuwa mkeo ningefanya kazi hata bure huyu ni wa mwisho ujumbe ule ule
 
Una tatizo..
Haiwezekani beki 3 watano wote ndani ya 1 year
mkuu
nilikuwa nampiga mkewangu ku change dada kila baada ya mwaka ila nilikuja muunga mkono kipindi flani..mpaka leo nilimpa salute...
dada hatakiwi kukaa zaidi ya mwaka au hata miezi 6..akishaanza zoea mazingira ni usumbufu na ataleta matatizo..so hapewi upenyo ..ata awe mzuri vipi..msome sana...akikaa sana miaka miwil tena huyo unajua ni mstaarabu ametulia kwel kwel...kuna mmoja tulikaa nae mwaka...akaanza zoeana na vijana wa mtaani..tukisepa wanakuja kufanya yao..dogo anaona kumbe..nikaja kuitwa na mkewangu shule mwanangu anabambia watoto wa kike tukawa kama tunapewa onyo tusifanye mchezo mbele ya mtoto...

sasa mimi na wife tuliumiza sana kichwa maana most time dogo analala na dada yake akilala na sisi mara chache labda sikuiyo umekuta mie nimechelewa kurud ameshinda jion na mama yake wanalala..na mimi nikimkuta kalala wala sinaga mambo y kusema nikampeleke kwa beki tatu..afu mipepe mi na wife tunakula na ratiba moja moja ambazo dogo hayupo home....

mimi ni mpenda ligi sana nipo hivyo .nikamwambia mamaa huyu dada atakuwa anaangalia pilau kwa simu maana dogo anachezea sana masimu ikikaa kizembe..nitafanya research..ila am sure sisi sio tatizo..akaniachia zoezii..bwana weee...nikanza research mtoto akitoka shule mchana ule muda namim natoroka mzigoni chap narud gafla home napiga mahesabu mtoto anakuwa karud kalala au anacheza (saa tisa mpaka saa 11) ndo mida ya kupiga ambush maana watever happens ndo mida hii mpaka dogo anaona..asubuhi ngumu ..nilikuja kukuta beki tatu anskunjwa sitting room afu mwanangu wamempa simu wamemuweka chumbani...

nilifunga mlango waliruka ao..nikaulizs mtoto yupo wap..wakasema room..nikamuita..(nijue dogo atakuja au atasema baba nifungulie)..dogo akaja ..ase...nikamwambia dada ulishindwa mpeleka mtoto kwa jirani wakacheze na wenzie au ukampa dada wa jirani akae nae umalize upuuzi wako unafanya ndani mwanangu akiwepo na anaona upuuzi wenu anaenda wafanyia wenzie..nikamwagiza mpeleke mtot kwa jiran arudi niongee nao wote..yule kijana akabaki...alienda alivorudi..daah...long story short kwanza niliwekwa ndani siku ile nikatolewa asubuhi...yule kijana alilazwa week ...yule dada ndugu zake walimsafirisha ndugu yao na mguu una POP...majirani waliita polisi niwekwe ndani maana usiku ule waliniambia kiroho safi upumzike tu ulale humu hasira zikipungua asubuhi unarejea kwako..ila kwa hali hii tumeitwa ata tukikuachia ukalale kwa ndug yako au lodge unaweza kurudia yule mtu..wakanilaza selo ya wanawake maana ilikuwa haina watu wakanipa na mto ase...😂...
 

🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
Shida sister alikua anashindwa ku copy na wadada au wadada ndio walishibdwa ku copy na sister

ss unakuta mdada kivuruge inbd amtoe tu akija anaefanya kaz hana mapenzi na mtt, mwenye mapenz na mtt mdokozi, anaefanya kaz mzururaji ko ni hekaheka anii
 
Bwana asipolinda mji wakeshao wafanya kazi bure.

Anyways.

Kila mtu ashinde mechi zake bwana.
 
Umenikumbusha nina wifi yangu hawezag kukaa na dada wa kazi yaan dada hata akisuka akapendeza hatak anasema atamuibia mume afumue nywele[emoji23] huwa nacheka. Mume mwenyewe bila hata ya hizo nywele anawakula sana wadada sana yaan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kupata watoto mkuu. Ila chini bana
 
Hahaa mkuu wewe acha tu kuna nyumba ukienda unakuta dada wa kazi hana amani kabisa na uhuru hata wa kunywa soda iliyo ndani.
Sasa huyu kwanin asichemshe parachichi ampe mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Ni sisi ndo tumefanya wakate tamaa...coz wakiwa na miaka 10-14 tumewabaka,watoto wetu wakiume wakawabaka,achilia mbali mateso ya wake zetu

Anaenda kwa bodaboda,walau huko anasikia hata neno 'I love you'au Nakupenda,japo anajua Ni la uongo na Unafiki,lakini Ni Bora kuliko majina ya wanyama na hayawani anayoitwa nyumbani mwetu

Sana akipata favour ,itatambulishwa familia yote,Kisha ataitwa kutoka jikoni na kutambulishwa na huyu Ni 'dada wa kazi'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew jamaa inaonekana unahela ungekua kapuku sidhan kama wangekupa favours hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpe haki mtu na kitu yake jamani, k ni yake hahahahahaha just kidding. Pole kwa changamoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…