Beki tatu kamchemshia mwanangu parachichi

Wengi wanakuwa bado mabinti wadogo bro..

Kutiwa iwe kwa staha basi na pia sio iwe routine Kama mke wa mtu

Akitiwa mimba anatelekezwa bila msaada wowote, hapo ukute ni mimba na ukimwi.. Acha hizo basi think wider
Umesema vyema linguistics, kudos kwako.

Nadhani baadhi ya wachangiaji wa mada hii hawana uzoefu na wanachochangia. Wale mabinti wa kazi wanapokuwa pale nyumbani wanatakiwa kuwa treated kama wana familia/watoto wengine wa pale nyumbani. Sasa kama ni haki yao kutiwa mbona hao wanaoshadadia wasiruhusu pia na watoto/mabinti zao waliowazaa wakatiwe tu kila jumamosi kwani mabinti zao wao sio binadamu hawapendi kutiwa? Kwa nini wanawazuia?

Issue ya kupumzika labda jumamosi wakati mama mwenye nyumba yupo iko kibinadamu zaidi ili binti apumzike na kama kwao ni karibu basi anaweza kwenda kuwaona/kuwasalimia wazazi/ndugu zake wa damu. Siyo eti kisa yuko mapumziko basi ruksa kwenda kutiwa au kufanya ujinga mwingine wowote hule, hapana.
 
Habari ya siku miss,msalimie sana mtoto...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo alijichanganya,mama uwe unamwambie mwanao ukweli,hata bweni atakutana na zaidi ya hayo,haya wewe kaa kimya
 
Mimi mwaka juzi nilibadilisha 6, kuna waliokaa miezi, kuna waliokaa wiki kuna waliokaa siku chache. Na hapo tunagawana kazi na matunzo yote anapata free. Wenye watoto wadogo wanaelewa. Tena wakikupa vitoto vya kwenye poti ndio hawatakiii

Nilichoka wadada na vituko vyao nkaamua kumpeleka mtoto boarding Ila yaliyomkuta mtoto sitasahau so amerudi day.....Sasa hivi natafuta mwingine maana ya boarding yalinishinda

Mdada maziwa ya mtoto anakunywa yeye
Samaki wa kumsagia mtoto yeye ndo anakula
Diet yoyote maalumu ya mtoto yeye ndo anafaidi

Na hivi mwanangu alikuwa hajui kushtaki Ndio akapata upenyo.

Ila Sasa hivi dogo hakuna kitu haelezii angalau atashtaki
 
Sure asilimia 100+ boarding schools siyo nzuri kwa watoto wadogo. Hata kwa wakubwa boarding bado ni changamoto. Ikiwezekana basi mtoto apelekwe boarding anapoenda form five. Walao wanakuwa wamepevuka kidogo.
 
Ni wivu tu unakusumbua.
 
wee ao wachache ivo mi sister ang mtt ake ana 1 yr tyr ashakaa na mabek 3 nane [emoji23][emoji23][emoji23]
Shida sister alikua anashindwa ku copy na wadada au wadada ndio walishibdwa ku copy na sister
 
Mimi mwaka juzi nilibadilisha 6, kuna waliokaa miezi, kuna waliokaa wiki kuna waliokaa siku chache. Na hapo tunagawana kazi na matunzo yote anapata free. Wenye watoto wadogo wanaelewa. Tena wakikupa vitoto vya kwenye poti ndio hawatakiii
Walikufanyia visa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…