Wakuu,
Kwanza kabisa nipende kutoa shukran zangu za Dhati kwa Michango yenu.
Mmechangia meengi sana ya kujifunza na kama kuna mtu alikuja na kuchungulia hii thread na asipate lolote la kujifunza basi atakuwa na Matatizo.
Sitaweza kuwataja woote kwa Majina ila sio Vibaya nikitoa shukran zangu za Dhati kwa wale walio ni challenge na kunikaripia
na wengine kukaribia hata Kunichapa Vibao Kama ingetokea kuwa Karibu nao, Bila kuwasahau wale walionishauri namna ya kukabiliana na hili
Bila kuwasahau wale wale nishauri kumla Beki 3 wangu.
Inshort, Mungu amejibu Maombi yangu, wala sikutengeneza Zengwe, ila Mungu amenipa namna Nzuuuri ya ku solve hii issue, Kesho kutwa Nampakia Gari huyu NIMT straight to Kwao.
SIHITAJI TEEEENAA BEKI 3 NYUMBANI KWANGU
Ahsanteni Sana, Mungu Yupo Jaman na ansikia Maombi yetu, kila tuwapo Majaribuni, Basi tusisite Kumuomba Guidance yake
Anapenda kucheza upande wa kushotoKwa nini unamwita/wanaitwa Beki 3?
Umeongeza matatizo kwa Beki 3 wako na kwako pia. Beki 3 umemtimua ghafla namna hiyo bila notice ya muda.Wakuu,
Kwanza kabisa nipende kutoa shukran zangu za Dhati kwa Michango yenu.
Mmechangia meengi sana ya kujifunza na kama kuna mtu alikuja na kuchungulia hii thread na asipate lolote la kujifunza basi atakuwa na Matatizo.
Sitaweza kuwataja woote kwa Majina ila sio Vibaya nikitoa shukran zangu za Dhati kwa wale walio ni challenge na kunikaripia
na wengine kukaribia hata Kunichapa Vibao Kama ingetokea kuwa Karibu nao, Bila kuwasahau wale walionishauri namna ya kukabiliana na hili
Bila kuwasahau wale wale nishauri kumla Beki 3 wangu.
Inshort, Mungu amejibu Maombi yangu, wala sikutengeneza Zengwe, ila Mungu amenipa namna Nzuuuri ya ku solve hii issue, Kesho kutwa Nampakia Gari huyu NIMT straight to Kwao.
SIHITAJI TEEEENAA BEKI 3 NYUMBANI KWANGU
Akina mamajack , snowhite , SnowBall , Speaker watu8 Kaunga, Mtoboasiri, Dark City dada white, Riwa Fyong'oxi Kongosho Concrete uttoh2002 Kituko, cacico BADILI TABIA mzabzab wehoodie Paloma, @FP, mtotowamjini, lara 1, philipo kidwanga Dena Amsi Ramos sosoliso Blaine king'asi Diga Diga, Eiyer mwakabhuta Edson YETOOO WALIMWEUSI andybird314 MzeePunch, Ng'ongoampoku SMU, TIQO BAK Ndukidi ndetichia kipipili salosalo DSpecial wagaba Chiwa The Mockingjay valid statement, JICHO LA TATU Anita baby
Ahsanteni Sana, Mungu Yupo Jaman na ansikia Maombi yetu, kila tuwapo Majaribuni, Basi tusisite Kumuomba Guidance yake
Hapa kubwa ni kukuombea kwa nguvu zote lakini nawe ufunge na kuomba si kisanii bali kiukweli! Nachelea kukubaliana na ushauri wako wa grace period ya miezi 6 kwa kuwa bado wewe hujashinda katika jaribu hili ulilonalo. Hivyo ukishashinda au kushindwa, tafadhali tupatie mrejesho na hasa namna ulivyoweza kumshinda huyo mwovu sheitwan! Ila aombaye kwa imani hupata anachoomba, lkn ukiomba kwa macho ya mashaka-mashaka, wewe mwenyewe ndiye utakuwa umekuwa sheitwan!Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki
PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.
Wasalaam
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki
PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.
Wasalaam
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki
PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.
Wasalaam