MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Wapiganaji 4 wa Kikundi cha wanamgambo wa Hezbollah wa Lebanon wameuawa baada ya makombora ya Israel kuvurumishwa kuelekea huko. Hayo yanajili ikiwa ni baada ya wanamgambo hao kurusha Marocket kuelekea eneo la SHEBAH FARMS ambalo lilitekwa na Israel kutoka Lebanon katika vita ya mwaka 1967. Baada ya tukio hilo, Israel ilijibu kwa kurusha makombora kuelekea ngome za Wapiganaji hao kwenye mpaka wa Israel na Lebanon.
Hayo yakijili, zaidi ya wapiganaji 67 wa Kiislam waliojaribu kupenyeza mpaka wa Israel ili kwenda kuwasaidia HAMAS waliuliwa na ndege zisizo na rubani za Israel kabla ya kuufikia mpaka huo.
Death toll surpasses 1,300 as Israel strikes Gaza and fierce battles intensify between Hamas gunmen and Israeli troops. Fierce Israeli bombing rocks Gaza through the night, death toll rises
Hayo yakijili, zaidi ya wapiganaji 67 wa Kiislam waliojaribu kupenyeza mpaka wa Israel ili kwenda kuwasaidia HAMAS waliuliwa na ndege zisizo na rubani za Israel kabla ya kuufikia mpaka huo.
Death toll surpasses 1,300 as Israel strikes Gaza and fierce battles intensify between Hamas gunmen and Israeli troops. Fierce Israeli bombing rocks Gaza through the night, death toll rises