marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
helo wakuu,ningependa wakuu mnipe mchanganuo wa bei za viwanja maeneo tofautofauti ya mikoa yetu,ili nijue ni kwa jinsi gani nitawekeza katika ardhi,na kuanzisha miradi mbalimbali.
nawasilisha wakuu.
nawasilisha wakuu.