Jumaa gosso
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 188
- 127
Habari wana Jf nahitaji kujuwa bei za magari
Vs zile za wabunge bei gani
V8
Lend lover
Plado nk„„„„„„„„„

Vs zile za wabunge bei gani
V8
Lend lover
Plado nk„„„„„„„„„


Vs je zile zawabunge bei gan??Lend lover na Plado hizo muulize Munawar
Maana nadhan zinatengenezwa India hizo
Vs je zile zawabunge bei gan??
na ulaji wa mafuta upo vp l/km
10mk/Lna ulaji wa mafuta upo vp l/km
V8 milion 120,na mpaka m80 zipo,afu unaposema Land rover ni kiwanda cha magari,sasa sijui unamaanisha gari aina gani,Difender? 109?freelander?Vogue?au unataka gari gani za Land Rover?Habari wana Jf nahitaji kujuwa bei za magari
Vs zile za wabunge bei gani
V8
Lend lover
Plado nk„„„„„„„„„![]()
![]()
![]()
![]()
hapa sijakuelewa unamaanisha10mk/L
10kms per liter. But inategemea pia.hapa sijakuelewa unamaanisha
10 lts kwa km 1 au 10km kwa lita moja
Duu wapi iyoLeo nmepita mahala nakuta magari yanauzwa mpaka million 3, aisee au ni kwa sababu ya hali ngumu
hapana kaka ile vX ina aic nk ulajibwake ni mkubwa sana mfano noah inaweza kwenda km13 kwa lita moja ila kwa prado labda km 4 kwa lita kaka ile machine kubwa10kms per liter. But inategemea pia.
Hapana. Noah ni 20mk/L.NaVX normally ni 14kms/L mkuu. Nakwambia hivyo maana nimeendesha hizo gari. Pia si kweli eti ukubwa wa CC ndio ulaji wa mafuta.hapana kaka ile vX ina aic nk ulajibwake ni mkubwa sana mfano noah inaweza kwenda km13 kwa lita moja ila kwa prado labda km 4 kwa lita kaka ile machine kubwa
Hapana. Noah ni 20mk/L.NaVX normally ni 14kms/L mkuu. Nakwambia hivyo maana nimeendesha hizo gari. Pia si kweli eti ukubwa wa CC ndio ulaji wa mafuta.
nashukuru nmekuelewa kakaHapana. Noah ni 20mk/L.NaVX normally ni 14kms/L mkuu. Nakwambia hivyo maana nimeendesha hizo gari. Pia si kweli eti ukubwa wa CC ndio ulaji wa mafuta.
Lend lover..... PladoHabari wana Jf nahitaji kujuwa bei za magari
Vs zile za wabunge bei gani
V8
Lend lover
Plado nk„„„„„„„„„![]()
![]()
![]()
![]()


PanadolSio kweli Noah sr 40 ni 10km/ ltr na sr 50 ni 9 hadi 8 km/ ltrHapana. Noah ni 20mk/L.NaVX normally ni 14kms/L mkuu. Nakwambia hivyo maana nimeendesha hizo gari. Pia si kweli eti ukubwa wa CC ndio ulaji wa mafuta.