Bei ya vyumba mji wa Zanzibar

Bei ya vyumba mji wa Zanzibar

walikuyu

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2018
Posts
960
Reaction score
2,055
Wakuu kwema humu!

Jamani naomba niende kwenye mada moja kwa moja nipo maeneo ya mji wa zanzibar, ninatarajia kukaa siku kadhaa huku sasa changamoto inshu ya malazi ipo juu sana, natafuta chumba walau cha elfu ishirini nipate kujistiri si mnajua maisha yalivyo magumu.

Sina mengi naomba kuwasilisha.
 
Wakuu kwema humu!

Jamani naomba niende kwenye mada moja kwa moja nipo maeneo ya mji wa zanzibar, ninatarajia kukaa siku kadhaa huku sasa changamoto inshu ya maradhi ipo juu sana, natafuta chumba walau cha elfu ishirini nipate kujistiri si mnajua maisha yalivyo magumu.

Sina mengi naomba kuwasilisha.
Ushije Kwanza jifundishe lugha usije ukapotea mwisho ukapata MARADHI
 
Wakuu kwema humu!

Jamani naomba niende kwenye mada moja kwa moja nipo maeneo ya mji wa zanzibar, ninatarajia kukaa siku kadhaa huku sasa changamoto inshu ya maradhi ipo juu sana, natafuta chumba walau cha elfu ishirini nipate kujistiri si mnajua maisha yalivyo magumu.

Sina mengi naomba kuwasilisha.
Hhhhhhhh maradhi! Au Malazi kijana?

Njoo inbox tuongee
 
Mambo vipi mtoa mada.

Tafuta daladala, panda hadi sehemu inaitwa "Bububu" au ulizia.

Kuna guest/Lodge inaitwa Bububu Beach Guest House vyumba kuanzia elfu 15 na ni vizuri sana.

1000105986.png


Kusema kweli nilikaa week hapo nili enjoy. Tatizo pale Stone town overrated sana.

1000105987.png


Picha sio zangu ila ndio pako ivo.

Kwenye iyo gate picha ya juu kuna namba zao unaweza wapigia.

Nauli toka stone town hadi hapo Bububu ni mia 6 tu mwendo wa dk 25-40 kwa vile vichai maharage vyao.
 
Mambo vipi mtoa mada.

Tafuta daladala, panda hadi sehemu inaitwa "Bububu" au ulizia.

Kuna guest/Lodge inaitwa Bububu Beach Guest House vyumba kuanzia elfu 15 na ni vizuri sana.

View attachment 2695317

Kusema kweli nilikaa week hapo nili enjoy. Tatizo pale Stone town overrated sana.

View attachment 2695319

Picha sio zangu ila ndio pako ivo.

Kwenye iyo gate picha ya juu kuna namba zao unaweza wapigia.

Nauli toka stone town hadi hapo Bububu ni mia 6 tu mwendo wa dk 25-40 kwa vile vichai maharage vyao.
Powa mzee ngoja niwacheki

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwema humu!

Jamani naomba niende kwenye mada moja kwa moja nipo maeneo ya mji wa zanzibar, ninatarajia kukaa siku kadhaa huku sasa changamoto inshu ya malazi ipo juu sana, natafuta chumba walau cha elfu ishirini nipate kujistiri si mnajua maisha yalivyo magumu.

Sina mengi naomba kuwasilisha.
Mkuu kama bado unamarinda jitahidi sana kuyatunza.
 
Mambo vipi mtoa mada.

Tafuta daladala, panda hadi sehemu inaitwa "Bububu" au ulizia.

Kuna guest/Lodge inaitwa Bububu Beach Guest House vyumba kuanzia elfu 15 na ni vizuri sana.

View attachment 2695317

Kusema kweli nilikaa week hapo nili enjoy. Tatizo pale Stone town overrated sana.

View attachment 2695319

Picha sio zangu ila ndio pako ivo.

Kwenye iyo gate picha ya juu kuna namba zao unaweza wapigia.

Nauli toka stone town hadi hapo Bububu ni mia 6 tu mwendo wa dk 25-40 kwa vile vichai maharage vyao.
Mchango wako utatusaidia wengi ambao likizo tunapenda kwenda mazingira tofauti. Thanks mkuu
 
Nimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu
 
Nauli toka stone town hadi hapo Bububu ni mia 6 tu mwendo wa dk 25-40 kwa vile vichai maharage vyao.
Acha dharau
 
Mambo vipi mtoa mada.

Tafuta daladala, panda hadi sehemu inaitwa "Bububu" au ulizia.

Kuna guest/Lodge inaitwa Bububu Beach Guest House vyumba kuanzia elfu 15 na ni vizuri sana.

View attachment 2695317

Kusema kweli nilikaa week hapo nili enjoy. Tatizo pale Stone town overrated sana.

View attachment 2695319

Picha sio zangu ila ndio pako ivo.

Kwenye iyo gate picha ya juu kuna namba zao unaweza wapigia.

Nauli toka stone town hadi hapo Bububu ni mia 6 tu mwendo wa dk 25-40 kwa vile vichai maharage vyao.
Nishapata chimbo
 
Back
Top Bottom