Bei ya viwanja Dodoma yapaa

Bei ya viwanja Dodoma yapaa

NZURI PESA

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
5,958
Reaction score
2,965
Wakuu heshima kwenu
Jana nilikwenda eneo moja ktk halmashauri ya dodoma mtaa wa kiterera.lengo ni kununua kipande cha ardhi kama ekari 5.

Bei niliyoikuta mwili ulininyong'onyea toka sh. laki 2.5 kwa ekari moja hadi milioni 1.5 kwa muda wa wiki moja tu iliyopita.
 
Wakuu heshima kwenu
jana nilikwenda eneo moja ktk halmashauri ya dodoma mtaa wa kiterera.lengo ni kununua kipande cha ardhi kama ekari 5.
bei niliyoikuta mwili ulininyong'onyea toka sh. laki 2.5 kwa ekari moja hadi milioni 1.5 kwa muda wa wiki moja tu iliyo pita
mkuu nunua tu, kata vipande sisi tunakuja na treni kesho, tutakuungisha usijali.
 
Hiyo 1.5m baada ya miaka miwili bei itakuwa mara tatu.
 
ni pazuri ingawa ni nje kidogo na mji lakini tatizo ni usafiri wakukufisha huko
chanika km 30 kutoka katikati ya dar kulikuwa mashamba 2008, sasa hivi nao miogo na mboga wananunua, usafiri na huduma za kijamii zakutosha.
 
Awamu hii viwanja vitashuka sana bei kama serikali itatekeleza maazimio yake, Lukuvi anafanya kazi nzuri sana kwenye wizara yake. Kitendo cha kuyapa nguvu makampuni binafsi kupima ardhi kitarahisisha sana upatikanaji wa ardhi kwa bei nafuu. After 2 years ardhi itakua sio ghari sana kulinganisha na awamu ya 4.
 
ni kweli mkuu.binafs nimesha faidika na frusa hiyo.huku dodoma kuna jampuni moja inaitwa peages inausika na upimaji wa viwanja na bei zake ni mafuu sana ukilinganisha na za cda.
tena unalipa kidogo kidogo ndani ya miaka miwili.
 
Nasikia kuna raia wa nchi jirani wanaomiliki ardhi wakati sheria ya ardhi hairuhusu.
 
iwapo unapenda kuwekeza basi ni eneo zuri kwani maji nayapatikana hata ukichimba kisima pia umbali toka mjini kati ni km 15.
 
Wakuu heshima kwenu
jana nilikwenda eneo moja ktk halmashauri ya dodoma mtaa wa kiterera.lengo ni kununua kipande cha ardhi kama ekari 5.
bei niliyoikuta mwili ulininyong'onyea toka sh. laki 2.5 kwa ekari moja hadi milioni 1.5 kwa muda wa wiki moja tu iliyo pita
Kama hela ipo chukua kwa bei hiyo uliyoikuta, utakaporudi utakuta imeongezeka tena!
 
Wakuu heshima kwenu
jana nilikwenda eneo moja ktk halmashauri ya dodoma mtaa wa kiterera.lengo ni kununua kipande cha ardhi kama ekari 5.
bei niliyoikuta mwili ulininyong'onyea toka sh. laki 2.5 kwa ekari moja hadi milioni 1.5 kwa muda wa wiki moja tu iliyo pita
kama una pesa nunua kijana hiyo i wish by december unashangaa bei imepanda had m.3 huko
 
Hivi hilo linalosemwa vumbu dodoma,ni dodoma yoote au kuna maeneo kuna dongo zuri na ni wapi.
Na je kwanini Dodoma vipofu wengi,maana nataka niangalie fursa ya kufungua huduma ya macho.Maana isije kuwa mji mkuu wa Vipofu,baada ya muda wote tukaanza kuvaa miwani za macho
 
Hivi hilo linalosemwa vumbu dodoma,ni dodoma yoote au kuna maeneo kuna dongo zuri na ni wapi.
Na je kwanini Dodoma vipofu wengi,maana nataka niangalie fursa ya kufungua huduma ya macho.Maana isije kuwa mji mkuu wa Vipofu,baada ya muda wote tukaanza kuvaa miwani za macho
Mkuu punguza kidogo ukali wa maneno kwahiyo sote tuliopo huku ni vipofu? Acheni maneno ya kuambiwa dom haipo km namna unavyoifikiria
 
Kilichokuvutia kununua ardhi huko ni nini? Maana kama ni ardhi ipo nyingi sana hata jirani tu na Dodoma kwa bei nzuri na ukapiga projects zako vibaya mno.... sema watu wananunua kwa fasheni kisa mji mkuu lakini tulio mikoa ya jiran ardhi kwa bei chee na inapiga projects hatari
 
k

kama una pesa nunua kijana hiyo i wish by december unashangaa bei imepanda had m.3 huko
Kilichokuvutia kununua ardhi huko ni nini? Maana kama ni ardhi ipo nyingi sana hata jirani tu na Dodoma kwa bei nzuri na ukapiga projects zako vibaya mno.... sema watu wananunua kwa fasheni kisa mji mkuu lakini tulio mikoa ya jiran ardhi kwa bei chee na inapiga projects hatari
kama mikoa gani na maeneo yepi
 
Back
Top Bottom