Ebwaneeeee duh..! Mkuu Hoja yako ni ya Msingi Sana Ila watu Wapo Bize na Siasa Si Umeona Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha nne Yalivyofunikwa na Habari za Madawa ya Kulevya?
Hii ndiyo Tz Bana Matatizo Kila Kukicha Haileweki Wapi Tuanze na wapi Tumalizie.Haijawahi tokea sembe kg1 sh.2000?
Hatari Hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.