mkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...Kama ni mambo yanayoipa mtihani mgumu serikali ni pamoja na kushindwa kusimamia bei ya Sukari kuendana na bei elekezi zilizopangwa!
Haihitaji kutumia muda mrefu kutafuta kujua bei ya sasa ya Sukari kwa kilo katika mtaa wako ulipo hata kama ni karibu na kiwanda chl
Ra kuzalisha Sukari.
Tunapiga marufuku Sukari ya kutoka nje, kusimamia uzalishaji wa ndani hatuwezi sasa huku si kushindwa ni nini? Kama pamoja na kelele zote za serikali kilo moja ya Sukari bado ni zaidi ya Tshs 2000 inamaana kiwango cha Sukari kilichopo ni kidogo!
Hapa bila shaka kuna maslahi binafsi kati ya watumishi wa serikali na wafanyabuashara ya Sukari nchini sio bure! Serikali ikipandisha Bei ya nauli kwenye vyombo mbali mbali vya usafiri nchini siku hiyo hiyo madiliko hufanyika lakini kwa hili la Sukari kwakua mnyonge ndie anaeumia basi kimya!
Bodi ya Sukari nchi ilikemea vikali suala la kapandishwa Bei ya Sukari kiholela lakini mpaka sasa hilo agizo halikua na maana yeyote, mbona hakuna sehemu Sukari inauzwa 1800 kwa kilo? Nimefanya research maeneo mengi nchini ikiwa ni pamoja na mkoa wangu wa Arusha hapa hapa hakuna duka Sukari inauzwa chini ya 2000!
Hivi kuna uhakika gani kama bado Sukari kutoka njee haiingizwi kinyemela? Wanaosimamia sua la kuzuia kuingiza Sukari kutoka nje mbona hawazuii kapandishwa kwa bei yake?
Binafsi naiomba serikali iache Sukari kutoka nje iingizwe ila iwe ni kwa njia za kilali ilipiwe kodi kama ilivyo kwa bidhaa zingine, kama wakulima wetu na wafanyabiashara wamekua wabinafsi wanafungia Sukari kwenye maghala huku wakipandisha bei kiholela basi Sukari kutoka nje iingizwe tu ili ushindani wa kibiashara uwepo kama zamani bei ishuke wanyonge wanywe chai na uji wenye Sukari na sio chumvi.Kikubwa serikali izibe mianya yote ya njia za pyanya Sukari kutoka nje ipite kihalali na ilipiwe kodi.
Upo wapi huko wanapouza 1800 kilo tukuagizie nasisi tununue man huk kwet 2400 sasa pia ni vyema ukakosoa kwa kutoa mifano sio kejeli zisizo na mpango great thinker jibu kwa hja sio matusimkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...
Ni huko kwako, nimenunua sukari hata nusaa haijapita kg 2200, Magu ajipange upyamkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...
Mkuu hao wafanyabiashara wakubwa huko ndiko wakubwa waliko wekeza, kwenye viwanda vya sukar kama Kilombero na Mtibwa wenyewe wanajulika, mwingne alipata ajali ya mguu uko ukoSuala la kutoa bei ni swala jingine na swala la kusimamia bei elekezi ni swala jingine, lakini watu wanaoongoza kuwavunja moyo watz ni wafanyabiashara wakubwa ndiyo wanaoongoza usije shangaa maghufuli akaja kuruhusu vibali vya sukari hii yote kutokana na tamaa ya wafanyabiashara
Kweli we Kenge kama lilivyo jina lako! Hayo maswali unaniuliza Mimi? Kaiulize serikali yako iliyopanga bei.Mtoa mADA anapiga STORY tu, hajui undani wa suala hili la Sukari.
Sukari ipo ya kutosha ila bei elekezi haiendani na gharama za uzalishaji (production Cost) ambazo ni kati ya Tshs. 1,600/= na (Ex-Factory) kabla ya usafirishaji na vikodi lukuki ni Tshs. 1,700/=.
Nipe hesabu ya bei ilekezi kwa mlaji itakuwaje Tshs. 1,800/=?
Ntajie hiyo sukari kilo 1800 unanunua mkoa gani au duka la ccm nn acha uongo wewe taifa aliendelei kwa kutengeneza matukio ndo mana tunachekwa tena we usikute ni mtanzania wa hali ya chini unatetea ujinga piga kelele ili tutoke kwenye maigizo ya kushuka bei kwa vitu na iwe ya kwel ili wananchi tunufaike na kama aiwezekani tujue au na we upo kwenye kikosi cha propaganda so uko kazini ok sawa kama ni mwananchi na unataka maisha bora bas acha maigizo nasema piga kelele rais aone jambo ili ata kama anataka sifa basi itakua faida kwetu au kama mpenda haki basi atapigania ilo kama swala liko ewura badi useme mana ndo mahakama ya bei ya bidhaa ukumu kutoka sio leo na ikitoka basi ujue ni kupanda na sio kushuka kisa mdororo wa kiuchumi ulaya ahahahahahaha kua muwazi acha chuki kichama kijanamkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...
wapi uko mkuu,namie nije,maana hapa meatu kilo moja ni tsh 2400 mpaka 2500/=mkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...
tukipondea serikali ya hapa kazi tu tunaitwa Ukawa!Walikurupuka kutangaza bei elekezi kama alivyokurupuka kutangaza watumishi hewa wa BOT.
acha upuuzi bei ya sukari hapa kimara ni 2200 usiwe mbumbumbu wewemkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...