Bei ya Shamba Maeneo ya Mikese, Kijiji cha Fulwe- Morogoro

Bei ya Shamba Maeneo ya Mikese, Kijiji cha Fulwe- Morogoro

erique

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2010
Posts
587
Reaction score
579
Wadau Habari za Sikukuu

Naomba kufahamishwa kwa mwenye ufahamu juu ya bei za mashamba (kwaajili ya kilimo cha mpunga) maeneo ya Mikese, Kijiji cha Fulwe - Morogoro. Naomba kujua bei ya kuanzia ekari 1.

Tafadhari
 
Back
Top Bottom