Bei ya petroli katika soko la dunia imepanda. Tujitayarishe

Zawadini

JF-Expert Member
Feb 2, 2012
2,213
1,638
Bei ya petrol katika soko la dunia imepanda. Kwa mujibu wa gazeti la The East African bei hiyo ilikaribia dola mia moja (100) kwa pipa. Hii inamaanisha kuna uwezekano wa bei ya petroli kupanda katika nchi zetu. Kama hivyo ndivyo tunapaswa kujitayarisha na kufunga mikanda kwani ikitokea hivyo bila shaka bei za bidhaa zitapanda. Mungu atusaidie
 
Bei ya petrol katika soko la dunia imepanda. Kwa mujibu wa gazeti la The East African bei hiyo ilikaribia dola mia moja (100) kwa pipa. Hii inamaanisha kuna uwezekano wa bei ya petroli kupanda katika nchi zetu. Kama hivyo ndivyo tunapaswa kujitayarisha na kufunga mikanda kwani ikitokea hivyo bila shaka bei za bidhaa zitapanda. Mungu atusaidie

Naona ule muda wa kupaki kamkweche kangu umewadia
 
Dollar 1= 2290
Us Dollar 100= ts 229,000
Kwahiyo niagize pipa 1000 za million zaidi ya Mia mbili na ushee Nipigie noti ya nusu billion mda mfupi ujao.
Marekani acheni chokochoko Iran na Middle East, sisi ndio wahanga wakati ninyi mna reserve ya miaka zaidi ya 100 ijayo.
Tuoneeni huruma.
 
Back
Top Bottom