Ni pm mkuuMi nahitaji ramani.
Mwaka juzi nilikua na project nao kuna nyumba mil 200 unahamia na begi tu,kuna zile design wanaita studio ilikua 75 kama nakumbuka vizuri....office zao ziko posta karibu na ttcl officeNaomba kuuliza kuna mwana jf yoyote ambaye anajua Bei za nyumba mradi wa Hamidu City Park Kigamboni, Kama kuna anayefahamu naomba anijulishe,Aksante.