Bei ya nyumba Dar za kupanga ni jipu

shaurimbaya

JF-Expert Member
Oct 3, 2013
1,915
2,329
Habari wadau..

Hizi bei za nyumba za kupanga ni noma.. Vyumba viwili , sebule jiko zinacheza laki 3 kwa mwez na kodi mwaka..

Chumba kimoja tu na sebule around laki 2 kwa mwezii.. Family house ndio hazigusiki kabisa around laki 5 kwa mwezi...

Kweli hii ni balaa.. Maana chumba kimoja tu master around laki 1 kwa mwezii.. Hapo kweli hata kuoa/ kuolewa ndoa lazima ziwe ngumu...

maisha yanapanda kwa spidi ya juu sana na sana..
 
Wewe umejenga ngapi za kwako? Hivi, kila mtu akijenga nyumba dar inaweza kuhimili kuwa na eneo la kutosha watu wote? Au wewe unaringia hiyo ya urithi? Tafakari kabla hujachangia ngumbaro wewe. Kiuhalisia wizara ya ardhi na makazi pamoja na tra waweke bei elekezi kwa kulocate bei na eneo pamoja na kodi ya mapato.
kweli kabisa ni jipu bei elekezi itolewe!
 
jenga ya kwako tangia mjue huo msemo wa majipu imekuwa kelele hadi kero,we unajua bei ya mfuko mmoja wa sementi,unajua bei ya kokoto trip moja,serikali yako yenyewe ya majipu haina nyumba za kukaa watumishi..!wewe leo kisa umeambiwa utoe hela ya brash ya chooni ndo umeamua kuleta uzi wakimipasho hapa
 
Tatizo utakua unataka ukae sehemu za hadhi ambayo kijamii hujaifikia maana Tabata kuna Vyumba na Sebule choo humo humo ndani 100,000, Vingine Choo na sebule 50,000 kodi miezi 6, Ubungo kuna nyumba za 200,000 mpaka 300,000 na tabata pia kwa mwezi kodi miezi 6, ila kama unataka ukae Sinza, mwenge, mbezi beach na mikocheni lazima ukutane hizo bei za majipu kwa kifupi Dar unaweza pata hata vyumba vya kuanzia 25,000 mpaka 150,000 kwa mwezi kulingana na uwezo wako labda uwe ni mgeni Dar na unataka uige maisha ya watu
 
Ni muda muafaka sasa kwa serikali kuje na sera na kanuni za regulation kwenye sekta ya nyumba za biashara,ndivyo inafanyika duniani kote nenda hata kenya au uganda hapo utaona..ni tanzania tu ndo sekta hii inaendeshwa kiholela,mfano mmiliki kupangisha bei anayojiskia na kulipwa kwa mwaka etc.kana kwamba haitoshi wamiliki hawalipi income tax..hapa kuna jipu
 
jenga ya kwako tangia mjue huo msemo wa majipu imekuwa kelele hadi kero,we unajua bei ya mfuko mmoja wa sementi,unajua bei ya kokoto trip moja,serikali yako yenyewe ya majipu haina nyumba za kukaa watumishi..!wewe leo kisa umeambiwa utoe hela ya brash ya chooni ndo umeamua kuleta uzi wakimipasho hapa
Wewe ni mjinga na Zuzu
habari wadau..

hizi bei za nyumba za kupanga ni noma..

vyumba viwili , sebule jiko zinacheza laki 3 kwa mwez na kodi mwaka..

chumba kimoja tu na sebule around laki 2 kwa mwezii..

family house ndio hazigusiki kabisa around laki 5 kwa mwezi...

kweli hii ni balaa.. maana chumba kimoja tu master around laki 1 kwa mwezii..

hapo kweli hata kuoa/ kuolewa ndoa lazima ziwe ngumu...

maisha yanapanda kwa spidi ya juu sana na sana
 
habari wadau..

hizi bei za nyumba za kupanga ni noma..

vyumba viwili , sebule jiko zinacheza laki 3 kwa mwez na kodi mwaka..

chumba kimoja tu na sebule around laki 2 kwa mwezii..

family house ndio hazigusiki kabisa around laki 5 kwa mwezi...

kweli hii ni balaa.. maana chumba kimoja tu master around laki 1 kwa mwezii..

hapo kweli hata kuoa/ kuolewa ndoa lazima ziwe ngumu...

maisha yanapanda kwa spidi ya juu sana na sana
vumilia mpaka upate yako hahahah na dalali ndo jipu zaidi
 
habari wadau..

hizi bei za nyumba za kupanga ni noma..

vyumba viwili , sebule jiko zinacheza laki 3 kwa mwez na kodi mwaka..

chumba kimoja tu na sebule around laki 2 kwa mwezii..

family house ndio hazigusiki kabisa around laki 5 kwa mwezi...

kweli hii ni balaa.. maana chumba kimoja tu master around laki 1 kwa mwezii..

hapo kweli hata kuoa/ kuolewa ndoa lazima ziwe ngumu...

maisha yanapanda kwa spidi ya juu sana na sana
mtu amajipanga amejenga nyumba yake kwa shida unasema jipu?eboo nyumba sio matako atiiii na kujenga ni kipaji kwa taarifa yako
 
Ni muda muafaka sasa kwa serikali kuje na sera na kanuni za regulation kwenye sekta ya nyumba za biashara,ndivyo inafanyika duniani kote nenda hata kenya au uganda hapo utaona..ni tanzania tu ndo sekta hii inaendeshwa kiholela,mfano mmiliki kupangisha bei anayojiskia na kulipwa kwa mwaka etc.kana kwamba haitoshi wamiliki hawalipi income tax..hapa kuna jipu
Lipo baraza la walaji, litumieni hilo kwa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom