Bei ya note 3 na note 4

Bei ya note 3 na note 4

Mujaahed

Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
23
Reaction score
1
Habari wakuu.! Nahitaji kujua bei ya smartphone tajwa hapo, mwenye kujua bei zake anijuze tafadhali
 
simu zinapitwa na wakati haraka haraka, ukija mwakani tarehe kama ya leo utaikuta note 3 inauzwa hata laki 3. note 4 sasa hivi bei zake around laki 9 hv

Ni Kweli chief simu zinapitwa na wakati haraka Sana maana Kila siku yanakuja matoleo makali. Naikubali Sana note edge
 
Back
Top Bottom