MTIMBICHI
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 946
- 214
Kwa wadau wote wanaopendelea kula mshikaki coco nawataharifu bei ya mshikaki wa ng'ombe ni 1500 na mshikaki wa samaki ni 2500 kama kuna siku umeuziwa zaidi ya hapo umeibiwa kuna baadhi ya wahudumu pale ni wezi hiyo nimegundua jana baada ya kudaiwa hela tofauti na niliyozoea kulipa badala ya 1500 nilikuwa nalipa 2000 na badala ya 2500 nilikuwa nalipishwa 3000, kuweni makini mletewapo bill .