Nasikia wahindi wameanza kulima mbaazi huko kwao mwaka huu...Bei imeporomoka mara dufuuuu Mwaka huu wakulima wa mbaazi si tutakufa na njaa aieeeeee.....
Bei za mwaka huu ni kati ya Tsh 200 na 300 wahindi wamegoma kununua kwani nao wamezalisha sana mwaka huu. Kumbuka bei ya mbaazi ni 200-300 , na bei ya chupa tupu sh 450 hapo unachagua kipi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.