komandokipensi
Member
- Apr 16, 2013
- 20
- 2
Haya mawe yanatumika kwenye,kutengeneza screen za simu,Ipad,Laptop na LCD TVs,fibre Optic cable,ICs za all electronics equipments duniani,ila yanakuwa na thamani kubwa iwapo yatauzwa kama Unga(baada ya kuyasaga na kupata mesh size zinazotakiwa na buyers) hapo yalipo tani moja aizidi laki3.Nnakushauri anzisha kiwanda uyasage ndo utapata faida Boss wangu ,na kama upo tayari kuyauza kwa bei ya laki 2 tatu kwa tani moja (1000kg),inatakiwa uwe na atlest 20tonnes(one 2Oft Container) ili uweze pata faida kidogo.PM me kama upo serious
Nimeshawahi kufanya hii biashara kidogo inatabu maana quarts zina masharti sana ila kama kuna mtu anayo Quarts glass au Topaz ukubwa kuanzia kilo moja na kuendelea ani pm hizo ni hela
quarts glass yasimamaje pricewise,kuanzia hiyo kilo:?
habari yako mkuu! kwanza nataka kujua una quartz ya aina gani smoke quartz, crystal quartz, quartz ya nyuzi, ppink quartz..fafanua hapo.bei ntakupa ukinambia ni aina gani ya quartz unayo ama unayo block quartz.jamani, nina mawe ya quartz karibu kilo 100+, nataka kuyauza sasa sijajua bei yake ikoje, naomba mnisaidie
huwezi uza kama unga mkuu ila kwa nlivyoyaona utauza chini ya 10000 kwa kg mkuuna me natafuta soko la kuuza kama unga mkuu, vp unalijua? na kilo ya unga wananunua sh ngapi?
wachina ndiyo buyers wakubwa hapa tz hayo mawe yanatumiwa viwandaniYanatumika wapi mkuu haya?
topaz ni jamii ya quartz ina tofauti kidogo kuna topaz iko round shape na topaz shape ya jiwe.na price ya topaz iko juu kuliko quartz kwa kgTopaz ndo ikoje hyo wazee..?mi naijua aina moja tu ya mabonge au glass.
nicheki kaka whatup 0655640213na me natafuta soko la kuuza kama unga mkuu, vp unalijua? na kilo ya unga wananunua sh ngapi?
Mkuu hii ni quartz ya aina gani?habari yako mkuu! kwanza nataka kujua una quartz ya aina gani smoke quartz, crystal quartz, quartz ya nyuzi, ppink quartz..fafanua hapo.bei ntakupa ukinambia ni aina gani ya quartz unayo ama unayo block quartz.
Block quartz au quartz ya mapandeMkuu hii ni quartz ya aina gani?View attachment 959928View attachment 959929
China bado deal quartz China biashara iko siku zotemiaka ya 2009,2010....hii ilikua bonge la kazi sema kwa sasa sijui ngoja nimtafute mdau mmoja yuko china anipe mwongozo
Dooh kwa hiyo kwa sasa hata hizi cheap stoney ni ishu kusafirisha? na ishu kubwa ni kuyazukia hukohuko uchinani maana hawa wanaokuja bongo wanatupiga sanaChina bado deal quartz China biashara iko siku zote
Kuna mchina mmja namjua alikuwa anakujaga sana kununua quartz ila kwa sasa kutokana na serikali ksitisha vibali vya export za madini hawaji na waliyopo hawanunui
Ova