Hekaya za Abunuasi
Senior Member
- Jan 6, 2014
- 166
- 38
Wakuu ni wiki takriban ya pili sasa nimesikia kuwa bei ya mafuta kwa soko LA dunia umeshuka kwa 40%. Kama ni kweli mbona mafuta bado tuna uziwa kias cha Tsh 2029 kwa Lita? Au serikali yetu haijajua kuwa kuna punguzo la hiyo asilimia. Mwenye taarifa sahihi atujuze.
Chanzo cha taarifa hii ni BBC
Chanzo cha taarifa hii ni BBC