Bei ya gunia la mpunga Mbarali

Bei ya gunia la mpunga Mbarali

mymy

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
296
Reaction score
111
Habari wakuu. Naomba kufahamu je mpunga wameanza kuvuna huko Mbarali? Vipi kuhusu bei ya gunia la mpunga huko kwa anaye fahamu kwa kipindi hiki. Shukran.
 
Habari wakuu. Naomba kufahamu je mpunga wameanza kuvuna huko Mbarali? Vipi kuhusu bei ya gunia la mpunga huko kwa anaye fahamu kwa kipindi hiki. Shukran.
Kama uko tayari twende Kyela early next month I,e June.
.....
 
Aisee kama unataka mpunga au mchele njoo Tabora Wilaya ya Nzega...... Mpaka hivi leo bei ya gunia moja 90kg ni 55K na inazidi kushuka....jioni ya leo bei ya mchele kwenye vituo vingi ilikuwa Tsh 1200-1300
 
Aisee kama unataka mpunga au mchele njoo Tabora Wilaya ya Nzega...... Mpaka hivi leo bei ya gunia moja 90kg ni 55K na inazidi kushuka....jioni ya leo bei ya mchele kwenye vituo vingi ilikuwa Tsh 1200-1300
Acha kudanganya
 
Hata mm nlikua nahitaji kujua bei ya mchele wa kyela 1kg ni sh ngap now. ...
 
Mlinda kigoma debe LA mpunga ni sh.4000 tu
 
Morogoro ifakara gunia 120 000 la debe 10 kilo ya mchere high qulit 1400. Kalibu sana
 
Ni kweli mkuu au unatania?
Aisee kama unataka mpunga au mchele njoo Tabora Wilaya ya Nzega...... Mpaka hivi leo bei ya gunia moja 90kg ni 55K na inazidi kushuka....jioni ya leo bei ya mchele kwenye vituo vingi ilikuwa Tsh 1200-1300
 
aisee ni kweli....wala sitanii....leo 16/08/2018 vituo vingi vinauza mchele kwa bei ya 950 mpaka 1050...1100 ni Mara chache sana japo bei ya mpunga bado ni 55K mpaka 60K
Mkuu huko kuna mchele wa kunukia kama unaopatikana huku mbeya ,
 
Back
Top Bottom