Bei ya DSTV

dstv walanguzi sana kuna utofauti mkubwa sana wa chaneli kati ya kifurushi cha compact plus(86k) na premium (135k) ukichukua compact plus za sports unapata ss 200,206,207,209 na super sport maximo wakati mechi nzuri wanaonyesha ss3,ss4,na ss 5 wanafanya hivyo purosely hata kwa mpenda movie mnet 102,103,104 zote hupati unaenda kupata 107,mnet action,universaal channel na nyingine za kawaida ila movie kali za mnet 103,105 hupati so kwa upande wangu to be honest kama unajiweza bora uchukue tu premium hivi vingine vinazingua sana hasa kama ni mpenzi wa mpira coz movie unaweza kucheki marudio ila mpira huwa live

Mimi nilikuwa nikilipia Compact+ nina ona mechi zote ambazo zinaonyeshwa na Super Sport labda kama wamebadilisha hii miezi miwili.
 
Zuzu tulia basi wenye kujua wafanye yao...


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨

Sasa mm na ww nani ndo zuzu? Mtoto wa kiume unakuwa mvivu tu unaletewa Link unataka utajiwe kila kitu. Afu unajiita Kiboko au kiboko ya rangi?
 
Last edited by a moderator:
Sasa mm na ww nani ndo zuzu? Mtoto wa kiume unakuwa mvivu tu unaletewa Link unataka utajiwe kila kitu. Afu unajiita Kiboko au kiboko ya rangi?

Aliekutatua linda hapo kati ndo mchawi wako, nshaelezwa na walioguswa na uzi wangu ww tangaza biashara yako haramu hyo kroho safi, sina shida naww mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilikuwa nikilipia Compact+ nina ona mechi zote ambazo zinaonyeshwa na Super Sport labda kama wamebadilisha hii miezi miwili.
mmhh mimi nikilipia compact plus kukiwa namechi nne kwa wakati mmoja basi zile mechi nzuri hupati kuziona coz wanaonyesha ss3 ,ss4 na ss5 ambazo kwangu mimi kwenye compact plus sizipati napata ss6,7,9 na maximo
 
Kwa sasa kujiunga DSTV ni Tsh 129,000 ( decorder na dish) then utajumlisha na bei ya fundi ambayo Mara nyingi ni Tsh 20,000.Vifurushi vipo vya Access-17,000,
Family-33,000,
Compact-55,000,
Compact Plus -90,000
naPremium -139,000

Haya ndio majibu unayopaswa kumpa mtu nahisi ameelewa kila kitu
 
Niliwahi kusikia kuwa sheria ya mawasiliano inayataka makampuni yanayo toa huduma za kurusha matangazo ya TV kuwa zipo zile channel za kitaifa ambazo zinatakiwa kurushwa bure kama kwa sasa DSTV wanazo Channel 10, Star tv, na TBC. Lakini ajabu ni kuwa kifurushi chako kikiisha hapo hapo na hizo channel zinaondoka hewani ila zile za Kichina tuu ndio zinakuwa hewani.
Sasa jee sheria hii haiwahusu DSTV? Au wahusika huko kwenye mamlaka wanawaogopa hao DSTV? Au kuna rushwa ilishatembea?


Sent from my iPad using JamiiForums
hiyo sheria inahusu local companies tu, DStv ni international haifuati hizo sheria ndio maana unaona hata malipo yao ni equivalent to USD ni kama qsat na makampuni mengine. Ile sheria inahusu local ving'amuzi
 
hiyo sheria inahusu local companies tu, DStv ni international haifuati hizo sheria ndio maana unaona hata malipo yao ni equivalent to USD ni kama qsat na makampuni mengine. Ile sheria inahusu local ving'amuzi

mkuu sio just a local!hata kwenye hivi vya nchini ni startimes na ting tu ndio sheria inawabana tu lakini continental,digiteck,zuku na azam tv wao sheria haziwabani hata kidogo.
 
Kuweni makini unapofanya baishara you need to abide na local laws sema wasimamiaji wa sheria ndo wako legelege.
 
hiyo sheria inahusu local companies tu, DStv ni international haifuati hizo sheria ndio maana unaona hata malipo yao ni equivalent to USD ni kama qsat na makampuni mengine. Ile sheria inahusu local ving'amuzi

Hakuna sheria ianayosema makampuni ya kigeni yafanye malipo kwa USD tu, ni uzembe wa serikali kuruhuru haya makampuni mengine kuwanyonya Watanzania.
Kuna makampuni mengi tu ya kimataifa, ambayo yanafanya malipo kwa Tshs.
 
Kwa sasa kujiunga DSTV ni Tsh 129,000 ( decorder na dish) then utajumlisha na bei ya fundi ambayo Mara nyingi ni Tsh 20,000.Vifurushi vipo vya Access-17,000,
Family-33,000,
Compact-55,000,
Compact Plus -90,000
naPremium -139,000

Fundi ni bure, no extra charges ukishalipia 129,000/-
 
Hakuna sheria ianayosema makampuni ya kigeni yafanye malipo kwa USD tu, ni uzembe wa serikali kuruhuru haya makampuni mengine kuwanyonya Watanzania.
Kuna makampuni mengi tu ya kimataifa, ambayo yanafanya malipo kwa Tshs.

DSTv wanalipa kwa Tshs lakini ni equivalent ya bei ya dola ya siku hiyo ku-avoid double standard kwa mataifa na wanafanya hivyo kwa nchi zote wanazo-operate wanatumia local currencies za nchi husika
 
Hivi hakunaga promo hawa jamaa wa dstv?
yaani kuanzia installation hadi kupata kifurushi cha mwezi
 
Back
Top Bottom