Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Bei ya dhahabu imepanda katika soko la dunia leo na kuwa dola 1900 kwa tola moja ya wakia ikiwa ni ongezeko la asilimia 35 tangu mwanzoni mwa mwaka huu. wataalamu wanasema kuwa itapanda hadi kufikia dola 2000 kwa tola moja hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu
my take:Tanzania inafaidika? kivipi?
source/W
my take:Tanzania inafaidika? kivipi?
source/W