Bei ya cement na usafirishaji mikoani

kalooo 25594

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
303
Reaction score
195
Habari wakubwa.

Nahitaji cement isiyopungua mifuko 600 kutoka kiwandani hivyo naomba kujua bei na gharama za usafirishaji kwenda Simiyu.
 
Nenda kiwanda husika utapata utaratibu mzuri au tafuta wakala wakiwanda utapata full details km unataka kudanganywa subili utaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…