Bei na soko la madini ya Ruby

Bei na soko la madini ya Ruby

Kingo

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2009
Posts
856
Reaction score
395
Wakuu, naomba kufahamishwa soko na bei ya madini aina ya ruby kwa Dar es Salaam na Morogoro
 
Natafuta eneo la kuchimba hayo makitu Morogoro, nahitaji kuingia ubia kwa maana na mwenye eneo ila kwenye uchimbaji itakuwa juu yangu kinachopatikana tunagawana asilimia..Vifaa vya kuchimbia, Watu na jigs za kuchekechea ni juu yangu.
 
Kuna jamaa ana eneo anatafuta mbia nikuunge nae
Natafuta eneo la kuchimba hayo makitu Morogoro, nahitaji kuingia ubia kwa maana na mwenye eneo ila kwenye uchimbaji itakuwa juu yangu kinachopatikana tunagawana asilimia..Vifaa vya kuchimbia, Watu na jigs za kuchekechea ni juu yangu.
 
Manunuzi hayupo humu?
 
Wakuu, naomba kufahamishwa soko na bei ya madini aina ya ruby kwa Dar es Salaam na Morogoro
Ruby bei yake inategemea na quality na ukubwa wa jiwe. Kama ni gemstone na kubwa ina bei kubwa zaidi kuliko vipande vipande vidogo vidogo vyenye uzito zaidi.

Kitambo nilikuwa na connection na wanunuzi ambao walikuwa wathailand, wapakstan, na jamaa wa hong kong.
 
Back
Top Bottom