Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Chuma2

Senior Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
159
Reaction score
64
Wandugu habari zenu? Hivi karibu mamlaka ya udhibiti wa bei za nishati ilitangaza kushuka kwa bei ya mafuta nchini kufuatia kushuka kwa bei ya pipa moja kutoka dola 100 mpaka 50 katika soko la dunia. Kama mafuta yameshuka kwa 50% katika soko la dunia, kwanini hawa EWURA wameshusha mafuta hata 20% haifiki.

Je kuna uwiano hapo? Hebu tusaidiane kwanini bei halisi isiwe nusu ya bei ya awali? Tuacheni kulala tudai haki zetu. Mafuta yakishuka hata gharama za maisha zita shuka.
 
Mkuu, sina jibu inatakiwa ishuke kwa kiwango gani lakini haiwezi kushuka kwa asilimia sawa kama mafuta ghafi yalivyoshuka kwa sababu kuna gharama nyingi katikati ambazo zenyewe zinaweza kuwa hazijashuka hata senti au zimeshuka kidogo.

Mishahara ya wafanyakazi, malipo kwa mamlaka za udhibiti, kodi, mashine za kuyabadili kutoka ghafi kuwa mafuta yamfaayo mtumiaji wa mwisho, usafiri na mengineyo.
 
Mkuu, sina jibu inatakiwa ishuke kwa kiwango gani lakini haiwezi kushuka kwa asilimia sawa kama mafuta ghafi yalivyoshuka kwa sababu kuna gharama nyingi katikati ambazo zenyewe zinaweza kuwa hazijashuka hata senti au zimeshuka kidogo. Mishahara ya wafanyakazi, malipo kwa mamlaka za udhibiti, kodi, mashine za kuyabadili kutoka ghafi kuwa mafuta yamfaayo mtumiaji wa mwisho, usafiri na mengineyo.

Bado majibu yako hayakidhi haja, kwanini basi yasishuke hata angalau 30% ? inawezekena production cost zikawa hazijashuka, lakini transportation cost zimeshuka.
 
EwurA waNazingUa. Wezi Tuu hAo. Kama ni transport cost na production cost ndo tatizo. Mbona nchi zingine za eastAfrica aMbazo ni LandLoCked wAnauza bei ya chini kuliko Tanzania. InamAana wao iZo cost hAwazipati.
HAwa eWura ni mIjizIi tu.
 
Bei ya mafuta ya petrol Nairobi 92.88 kwa litre , diesel Sh83.35 na kerosene Sh65.59 kwa litre

Mombasa Sh89.57 kwa petrol, , kwa diesel Sh80.06 na Sh62.84 kwa litre ya kerosene.

Sehemu nyingine za kenya bei haifiki Sh100 kwa litre,
ILA kwa maeneo ya Wajir, Loboi, Mandera, na Lokichogio mafuta yanauzwa kwa kati yaSh100.32 na Sh106.69 kwa litre,
 
EwurA waNazingUa. Wezi Tuu hAo. Kama ni transport cost na production cost ndo tatizo. Mbona nchi zingine za eastAfrica aMbazo ni LandLoCked wAnauza bei ya chini kuliko Tanzania. InamAana wao iZo cost hAwazipati.
HAwa eWura ni mIjizIi tu.

Yaani mimi nataka nione kifaa choko unachotumiaga kupata acces ya internet, maana unavyoandika inatoa mashaka kidgo.
 
Mkuu, sina jibu inatakiwa ishuke kwa kiwango gani lakini haiwezi kushuka kwa asilimia sawa kama mafuta ghafi yalivyoshuka kwa sababu kuna gharama nyingi katikati ambazo zenyewe zinaweza kuwa hazijashuka hata senti au zimeshuka kidogo. Mishahara ya wafanyakazi, malipo kwa mamlaka za udhibiti, kodi, mashine za kuyabadili kutoka ghafi kuwa mafuta yamfaayo mtumiaji wa mwisho, usafiri na mengineyo.

kwann isishuke hata kwa 40% au 30% angalau?
 
Bado majibu yako hayakidhi haja, kwanini basi yasishuke hata angalau 30% ? inawezekena production cost zikawa hazijashuka, lakini transportation cost zimeshuka.

n kwel mkuu yashuke angalau tuone kaunafuu fulan, waache kutufanya wa tz wote mapoyoyo.
 
Bei ya mafuta ya petrol Nairobi 92.88 kwa litre , diesel Sh83.35 na kerosene Sh65.59 kwa litre

Mombasa Sh89.57 kwa petrol, , kwa diesel Sh80.06 na Sh62.84 kwa litre ya kerosene.

Sehemu nyingine za kenya bei haifiki Sh100 kwa litre,
ILA kwa maeneo ya Wajir, Loboi, Mandera, na Lokichogio mafuta yanauzwa kwa kati yaSh100.32 na Sh106.69 kwa litre,

kwahyo unataka kutuambia nn?
 
EwurA waNazingUa. Wezi Tuu hAo. Kama ni transport cost na production cost ndo tatizo. Mbona nchi zingine za eastAfrica aMbazo ni LandLoCked wAnauza bei ya chini kuliko Tanzania. InamAana wao iZo cost hAwazipati.
HAwa eWura ni mIjizIi tu.

ni mamlaka isioyokuwa na meno. yaan kibogoyo!
 
Ewula kipato chao kinatokana na asilimia kutoka kwenye pump. Sasa wao wanaona wakishusha wanajua fika kuwa athari kwao itaonekana. Hii ni dharau waTz.
 
nadhani alichosema Bwana Shy land hapo juu kina mantiki kubwa sana kwa sasa.
Kwa sababu tunaelekea kwenye uchaguzi, na ndugu zetu hawa wa chama cha magamba wanafanya kila liwezekanalo kila senti ipatikane kwa ajili ya kuelekea uchaguzini na hapo lazima kutakuwa na ufisadi wa hali ya juu. Enewei, jibu ni kwamba wafanyabiashara wakubwa wengi unaowajua wewe wa mafuta hapa nchini wengi wao wana fund/sponsor chama cha magamba.
 
Last edited by a moderator:
EwurA waNazingUa. Wezi Tuu hAo. Kama ni transport cost na production cost ndo tatizo. Mbona nchi zingine za eastAfrica aMbazo ni LandLoCked wAnauza bei ya chini kuliko Tanzania. InamAana wao iZo cost hAwazipati.
HAwa eWura ni mIjizIi tu.

mm sioni hata sbbu ya kuwa na chombo kama EWURA.
 
Wandugu habari zenu? Hivi karibu mamlaka ya udhibiti wa bei za nishati ilitangaza kushuka kwa bei ya mafuta nchini kufuatia kushuka kwa bei ya pipa moja kutoka dola 100 mpaka 50 katika soko la dunia. Kama mafuta yameshuka kwa 50% katika soko la dunia, kwanini hawa EWURA wameshusha mafuta hata 20% haifiki. Je kuna uwiano hapo? Emu tusaidiane kwanini bei halisi isiwe nusu ya bei ya awali? Tuacheni kulala tudai haki zetu. Mafuta yakishuka hata gharama za maisha zita shuka.

hayawez shuka zaid yapo.
 
TatIzo pia Sisi wenyEwe wenYe maGari hAtuonYeshi uMoja kAtika hiLi.
WAtaNzania tUmezOea kulAlaMika tu pAle mafUta yanapokuWa bei jUu. KUnaHitAji la kuoNyeSha natioNal demoNstrations peNgine iTasaidia ila NajuA ni WabOngo waChache waNaweza kUgoma kuJaza mafUta kweNye Gari zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom