Behavioral characteristics between women and men

Behavioral characteristics between women and men

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,993
Wakuu Leo zitambue tofauti za kitabia Kati ya mwanaume na mwanamke hizi hapa chini

Mwanamke hawezi kukupenda bila sababu ya msingi Wana sababu za kukunok, lakini mwanaume yeye ni kiumbe cha Ajabu anaweza penda mke bila sababu yeyote Ile hii ni kwa sababu wanawake wanaongozwa na hisia lakini wanaume wao hutamani tu ndio Maana Wana uwezo wa kupenda pasipo na sababu.

Mwanamke anaweza kumfanyia mwanaume vituko mwanaume akavumilia tu siku nyingi Sana lakini mwanaume yeye anapokuja kujibu mashambulizi mwanamke dakika Ile ile anahisi anaonewa anasahu Kua yeye ndie mwanzo wa vurumai zote, hapa wanawake kueni makini mwanaume akikuchoka hapa umkalishe vikao chini ya Adolf hitila hawezi geuza msimamo

Wanaume hawana uwezo wa kuvumilia kubaki na upweke ndio Maana akiona nyumbani hapasomeki tu siku Ile ile plani yake kutafuta mchepuko pembeni ajifariji lakini mwanamke yeye anauwezo wa kuvumilia unaweza mkawa na vurugu nyumbani sio rahisi atoke nje ya ndoa upesi upesi.
Zingine zinakuja wakuu................. Ama unaweza floo hapa chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke anaweza akalia uongo kabisa lakini mwanaume siyo
 
Wakuu Leo zitambue tofauti za kitabia Kati ya mwanaume na mwanamke hizi hapa chini

Mwanamke hawezi kukupenda bila sababu ya msingi Wana sababu za kukunok, lakini mwanaume yeye ni kiumbe cha Ajabu anaweza penda mke bila sababu yeyote Ile hii ni kwa sababu wanawake wanaongozwa na hisia lakini wanaume wao hutamani tu ndio Maana Wana uwezo wa kupenda pasipo na sababu.

Mwanamke anaweza kumfanyia mwanaume vituko mwanaume akavumilia tu siku nyingi Sana lakini mwanaume yeye anapokuja kujibu mashambulizi mwanamke dakika Ile ile anahisi anaonewa anasahu Kua yeye ndie mwanzo wa vurumai zote, hapa wanawake kueni makini mwanaume akikuchoka hapa umkalishe vikao chini ya Adolf hitila hawezi geuza msimamo

Wanaume hawana uwezo wa kuvumilia kubaki na upweke ndio Maana akiona nyumbani hapasomeki tu siku Ile ile plani yake kutafuta mchepuko pembeni ajifariji lakini mwanamke yeye anauwezo wa kuvumilia unaweza mkawa na vurugu nyumbani sio rahisi atoke nje ya ndoa upesi upesi.
Zingine zinakuja wakuu................. Ama unaweza floo hapa chini

Sent using Jamii Forums mobile app
Point of correction.. wanaume hawapendagi wanatamani tu

Be Humble is free of charge [emoji873]
 
Point of correction... wanaume hawavumiliagi, wanawake ndio mabingwa wa kuvumilia. Kama huamini mkeo achepuke uone kama utamvumilia. Mwanaue anaweza kufanya vituko lukuki hata kuonyesha dalili kwamba hampendi mke/ gf wake lkn bado mke/ gf atavumilia akiamini ipo siku atabadilika

Be Humble is free of charge [emoji873]
 
Upo sahihi mkuu lakini nimetoa specific point, mwanaume anaweza akakomaa tu na timbwili la mwanamke lakini siku akiamua kujibu mashambulizi ndo mtiti unaanza hapo
Point of correction... wanaume hawavumiliagi, wanawake ndio mabingwa wa kuvumilia. Kama huamini mkeo achepuke uone kama utamvumilia. Mwanaue anaweza kufanya vituko lukuki hata kuonyesha dalili kwamba hampendi mke/ gf wake lkn bado mke/ gf atavumilia akiamini ipo siku atabadilika

Be Humble is free of charge [emoji873]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtandao gani tena?
jana nimetengeza akaunti fake ya kike kwenye mtandao wa hitwe wanaume 100 wakaja inbox ndani ya saa 1 sasa nikajiuliza hivi mim mwanamke wangu kweli anakataa wote wanaomtomgoza kisa mimi msukuma
 
Back
Top Bottom