Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Ullimwengu tuliopo ni wa sayansi na Teknolojia.Kila kukicha teknolojia mpya ya kufanya mambo, kutengeneza bidhaa inagunduliwa na kuanzishwa.
Uwepo teknolojia na misamiati ukichanganya na ubunifu wa wataalmu wa marketing kwenye makampuni unawaacha watumiaji wakiwa hawana cha kufanya na kujikuta wakihamasika kufuata teknolojia fulani bila kuwa na mwanga ni kitu gani hasa wamenunua.
Nitajikita zaidi kwenye teknolojia za IT
Mfano Microsoft walitoa Desktop OS ya XP. Then wakaja na Vista. Na sasa wako na Window 7.
Katika Matangazo sasa hivi inakuwa promoted Windows 7. Je mtumiaji ana haja ya kuharakisha kwenda kwenye Window 7? Je Mtumiaji alikuwa ana haja ya kubadilisha kutoka XP kwenda Vista bila kujiridhisha.
Binafsi Nashauri watumiaji wanataka kufanya upgrade ya OS wazingatie haya.
Usifanye upgrade ya kutoka OS kwenda nyingine kabla OS mpya haijamaliza japo hata mwaka Mmoja toka izinduliwe
Binafsi natumia Windows XP hadi sasa hivi . Nakumbuka Vista iliipoingia watu walikimbia kuupgrade. lakini baada ya mwaka hata Microsoft wenyewe walisema Vista ni kituko. Kwa mfano huu unaweza kuona kuwa the more u upgrade earlier the more unakuwa umeajiriwa na kama tester bila kujua. Kwa hiyo ni muhimu kutoa muda japo wa mwaka kujiridhisha kuwa OS fulani imekuwa stable. Huu ushauri ni kwa wale wanataka kukimbilia kuupgrade kwenye Window 7.
Usifuate Mkumbo wala kusikiliza watu wa Masoko. Kuna neno Linaitwa Technology fever. watu wengi tunapenda kuonekana tuko latest na tunakwenda na wakati. Ni bora ujue kwa nini unatumia Kompyuta yenye window 7 na sio XP au Vista. Style hii ya tecnology fever kwa mtazamo wangu Iphone wanaitumia kuwakamata watu japo iphone ina mapungufu mengi. Mfano kwangu one key feature ya simu ni camera. iphone is weak kwenye hii> je watu wangapi wanatumia hizo application za iphone.
kingine kwenye hii techonology fever watumiaji wengi inabidi wakumbukekwa jinsi Window Vista ilivyokuwa na matatizo hawatakiwi kuwa wepesi wa kuapgrade. Unless kompyuta inakuja iko preinstalled.
Kwa hiyo tuwe tunajiuliza maswali haya na mfano wa majibu nimeyaweka kwenye mababo.
kwa nini nihame kutoka teknolojia hii kwenda ile?( Imepitwa na wakati, haiwi supported na wasambazaji? imenivutia kwa muonekako, its talk of the town)
Kwa nini ninunue Iphone na si Nokia, samsung au motorolla.( Recommedation, Matangazo unayoona yamekuvutia, Mazoea, Specification ilizonazo ndio hasa unataka na unazitumia na haziko kwingine)
kwa hiyo kwenye maamuzi ya kununua vifaa vya tekonoljia tusikubali watu wa masoko watuchagulie bidhaaa kwa kutuyajia streghts za bidhaa hiyo waulize pia weakness ya hiyo bidhaa.
Nawasilisha kwa mjadala.
Uwepo teknolojia na misamiati ukichanganya na ubunifu wa wataalmu wa marketing kwenye makampuni unawaacha watumiaji wakiwa hawana cha kufanya na kujikuta wakihamasika kufuata teknolojia fulani bila kuwa na mwanga ni kitu gani hasa wamenunua.
Nitajikita zaidi kwenye teknolojia za IT
Mfano Microsoft walitoa Desktop OS ya XP. Then wakaja na Vista. Na sasa wako na Window 7.
Katika Matangazo sasa hivi inakuwa promoted Windows 7. Je mtumiaji ana haja ya kuharakisha kwenda kwenye Window 7? Je Mtumiaji alikuwa ana haja ya kubadilisha kutoka XP kwenda Vista bila kujiridhisha.
Binafsi Nashauri watumiaji wanataka kufanya upgrade ya OS wazingatie haya.
Usifanye upgrade ya kutoka OS kwenda nyingine kabla OS mpya haijamaliza japo hata mwaka Mmoja toka izinduliwe
Binafsi natumia Windows XP hadi sasa hivi . Nakumbuka Vista iliipoingia watu walikimbia kuupgrade. lakini baada ya mwaka hata Microsoft wenyewe walisema Vista ni kituko. Kwa mfano huu unaweza kuona kuwa the more u upgrade earlier the more unakuwa umeajiriwa na kama tester bila kujua. Kwa hiyo ni muhimu kutoa muda japo wa mwaka kujiridhisha kuwa OS fulani imekuwa stable. Huu ushauri ni kwa wale wanataka kukimbilia kuupgrade kwenye Window 7.
Usifuate Mkumbo wala kusikiliza watu wa Masoko. Kuna neno Linaitwa Technology fever. watu wengi tunapenda kuonekana tuko latest na tunakwenda na wakati. Ni bora ujue kwa nini unatumia Kompyuta yenye window 7 na sio XP au Vista. Style hii ya tecnology fever kwa mtazamo wangu Iphone wanaitumia kuwakamata watu japo iphone ina mapungufu mengi. Mfano kwangu one key feature ya simu ni camera. iphone is weak kwenye hii> je watu wangapi wanatumia hizo application za iphone.
kingine kwenye hii techonology fever watumiaji wengi inabidi wakumbukekwa jinsi Window Vista ilivyokuwa na matatizo hawatakiwi kuwa wepesi wa kuapgrade. Unless kompyuta inakuja iko preinstalled.
Kwa hiyo tuwe tunajiuliza maswali haya na mfano wa majibu nimeyaweka kwenye mababo.
kwa nini nihame kutoka teknolojia hii kwenda ile?( Imepitwa na wakati, haiwi supported na wasambazaji? imenivutia kwa muonekako, its talk of the town)
Kwa nini ninunue Iphone na si Nokia, samsung au motorolla.( Recommedation, Matangazo unayoona yamekuvutia, Mazoea, Specification ilizonazo ndio hasa unataka na unazitumia na haziko kwingine)
kwa hiyo kwenye maamuzi ya kununua vifaa vya tekonoljia tusikubali watu wa masoko watuchagulie bidhaaa kwa kutuyajia streghts za bidhaa hiyo waulize pia weakness ya hiyo bidhaa.
Nawasilisha kwa mjadala.