Kijana kazania masomolishangazi la kienyeji hilo anaonekana ni mtamu
hahaa, pepo tokaa
Wanyakyusa wanaimba sana jamani....
Aisee analeta amani sana moyoni
Mimi Shusho ndo ananiumiza kumuacha yule mume wake mtu mzima..kha..Hivi hawa watu ktk hii tasnia kwanini woote ndoa zao zimekufa!?? Why!??
Hv huyo shusho nae kaachana na mme wake🤔🤔🤔siku hz ni pastor ana kanisaMimi Shusho ndo ananiumiza kumuacha yule mume wake mtu mzima..kha..