Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides


...Binafsi sikusoma Historia, hivyo kwangu fursa kama hizi za mijadala nazifurahia sana ili nami nitoke kwenye ujinga. Lakini naomba niseme wazi kuwa article ya Prof Hirji hadi sasa imekosa mtu makini wa kuichallenge ili sie tuliowajinga wa historia tufaidike.
Naamini kabisa kuwa Prof ametumia selective examples, na hivyo nimekuwa nikisubiri kwa hamu hoja zitakazomchallenge kwa kutumia mifano ambayo hakuiselect (au haipo?)
Dada examples can be real examples or hypothetical - e.g. naweza kusema JF kuna mabingwa wengi sana wa Historia kwa mfano Mzee Mohammed Said. -This is a selective example and its a real example. Kadharika katika
Differences between Muslims and Christians in educational attainment and higher level jobs existed in 1961, and still persist. So do differences between males and females, between regions and between races.
yaweza kuwa ni selective example. Lakini ni reality, au hutaki?
 
Tuwekee basi chanzo tukajisomee. Au ndiyo katika makabrasha yako yaliyoliwa na panya?
Chanzo anajua Mohamed maana nimeweka nukuu zake kama zilivyo.

Msipindishe mjadala kumuokoa, Mohamed Said njoo hapa ukabiliane na takwimu zako mwenyewe

Kipande kinachofuata ni takwimu kutoka gazeti la Daily news na Kiongozi kama alivyoziwakilisha Mohamed
 
Last edited by a moderator:
Mohamed haya ni maandishi yako, njoo hapa jamvini utoe elimu.

Takwimu umezitafuta mwenyewe, sample size umechagua mwenyewe, ukazifanyia uchambuzi wa kina na kuja na hitimisho.
Njoo hapa tujadiliane maana ulishamaliza kazi sasa ni ilm
 
Duh! Tanzania kuna madhehebu hata sijawahi kuyasikia duniani, ndiyo kwanza leo niyajuwe.

Hebu tupe source tukayasome kwa kina au source ni wewe mwenyewe?

Ahsante kwa elimu unayotuzidishia.

Tumekuelewa, sasa twende kwenye hoja
 
Not so fast FaizaFoxy, it is you who is disillusioned and have failed completely to comprehend Professor Karim Hirji's argument. He says it very bluntly, I quote;
This statement in red and its bluntness describes Mohamed Said and his work in more ways than easily perceived by many with little understanding. It is this group that will come up with simple explanation like you have done above for they are prey to manipulations based on religion under the subject, creed. It is also important to note that while Professor Karim takes note of extremists from both sides of the aisle, Mohamed Said's half truths are one sided and focus more on issues that divide us.
 

Mag3, I guess you have no idea how many languages I speak. Teh teh the

And where did I tell you or anyone here that I do not know Kiswahili? Jumping the wagon especially from the front is one of the gravest mistake you ever did. The "chickens"?

Omg well said Prof. M.Said JF has never been boring. Oh boy!!
 
Last edited by a moderator:
Yaani kupinga kuwa Mau Mau hawakupigana na Wajerumani ndiyo matusi.

Teh teh teh teh
 
Last edited by a moderator:

Okay, umefanya la maana kuweka uwanja safi ata tulioondoka tumerudi.

Sasa mwambie Mzee Mohammed Said ajibu hoja za Prof Hirji,au la uzijibu moja baada ya moja wewe binafsi umpe msaada.

Kama ujaziona niambie nikuonyeshe.
 

So this going in circle while parroting is it from you or Karim Bhai or Nguruvi3's Makabrasha that were eaten by Panya bukus? Teh teh teh!
 

Hahahaaaa! asante dada FF. Mimi mwanafunzi tu dada katika somo hili la historia, kazi yangu kubwa humu ndani ni kuangalia nani anaetoa hoja zinazoeleweka na nani anaokotezaokoteza tu hoja.
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo ninavyozidi kupata picha ya nani mkweli. Ila ninasikitika na sijui kwa nini katika hii hoja Mzee Mohammed Said kawa mpole sana na amebaki kutoa like tu kwenye majibu yako. I hope atakuwa hajaumeza mwiba usiomezeka.
 
Tuwekee basi chanzo tukajisomee. Au ndiyo katika makabrasha yako yaliyoliwa na panya?

My Hon. Lady Faiza,

These guys will never bring something of their own effort, Karim Bhai has done them a great favour by writting that hypothetical analysis and now they are stuck in a void they cannot get out of that urimbo whenever they wrigle and sithle they get more stuck😀😀
 

Kwanza kumbuka argument ilkuwa ni ya nini? unakumbuka?

Kama unakumbuka sasa nisome tena tartiiib:

By FaizaFoxy


That same argument you have used is under the heading Sound and Unsound Logic, did you notice? Now, did you notice the last sentence before that heading? "Selective examples convert the truths in Said's paper into half-truths"

It simply means, the sentence which was used as a mode of argument is not Hirji's but he is using "Selective examples" to "convert the truths in Said's paper into half-truths"

What is so hard in you reading and understanding that? they are just "examples" (mifano) and not reality. That is from Hirji's mouth. And Al Alama Mohamed Said's truth is being hypothetically "converted into half-truths" by your beloved "Professor".

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Mpaka "professor" anakiri wazi wazi, kinaga ubaga, kuwa atatumia ukweli wa Mohamed Said kuubadilisha (convert) kuwa nusu ukweli wewe bado unaona huyo mtu kaleta "reality"?

Kwa kweli nakusikitikia sana.
 
Mag3, I guess you have no idea how many languages I speak. Teh teh the
Sorry, I thought you and Punjab Singh were one and the same...
And where did I tell you or anyone here that I do not know Kiswahili? Jumping the wagon especially from the front is one of the gravest mistake you ever did.
You do? Sorry again...I thought you and Punjab Singh were one and the same...
The "chickens"?
Yes, the chickens...any problem?
Omg well said Prof. M.Said JF has never been boring. Oh boy!!
Oh, you mean the disillusioned story teller? Yeah, JF has never been boring!
So this going in circle while parroting is it from you or Karim Bhai or Nguruvi3's Makabrasha that were eaten by Panya bukus? Teh teh teh!
Are you for real Punjab Singh
Ritz, Laughter is the best medicine and it is not scares in JF.😀😀:thumbup::thumbup:
Heri ungeandika kwa Kiswahili Punjab Singh..ha ha haa...
Yeah, your mentor Mohamed Said has brought something of his own and Punjab Singh has swallowed it hook, line and sinker! Good night!
 
Last edited by a moderator:
Mr Punjab Singh.

I still can't understand why people's like Prof Hirji eat gutkas manikchand.

Because it is a mouth freshner Ritz so definetly they need to freshen their lies too.
On the other hand there are speciality premium blends that have a drugs like effects and even tranquilizers. May be Karim Bhai missed that while writing that so called critique. Teh teh teh😛😀
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said , hapa ulikusudia hizo ni hypothetical data au ulikusudia nini? Nieleweshe tafadhali

Halafu, non muslims kwanini wanakuwa eneo moja, je miongoni mwao hakuna data zinazoweza kuvuruga kabisa ushahidi wako? Nina maana kama no muslims wakiwa 90% pagans, 5% Atheist na 5% Christians , huoni kama utakuwa umepoteza miguu ya hoja yako! Na kama si hivyo, hebu tueleze non muslims ni akina nani na wapo katika % gani


Mohamed Said , hatuna kahawa hapa na watu wanakusubiri
 

Chintu,
Mahali anapoingia Maalim Faiza...
Mimi nakuwa pembeni...

Huu ni ukumbi wa Faiza na Prof. Hirji.
Adab za mnakasha zinanilazimu niwe msikilizaji.

Sijameza mwiba wowote.
Ukipata nafasi ingia Jukwaa la Historia ndiko nilikokuwa.

Nimeweka vitu vingine.
Ingia hapa upate starehe bila malipo kwa hisani ya Mohamed Said:

http://www.mohammedsaid.com/2015/02/chama-cha-mapinduzi-ccm-yabomoa-nyumba.html

Upole ni tabia ya kuigwa.
Kasema Mtukufu wa Darja SAW halitiwi jambo upole ila hupendeza.

Kama umeniona nimekuwa mpole hiyo ni sifa kubwa kwangu.
Allah ajaalie iwe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…