Pole ungejua hiztoria au life style ya kanda ya ziwa wala usingetaja hiyo wilaya. Hebu ulizia kwa watu wa kanda ya ziwa wanavyooga na wala hawasumbuki! Huyo ametoka sehemu/ mikoa ambazo hazina ziwa kama Victoria! Natumaini unaifahamu mkoa hup mmoja wapo ulikotoka wewe!Siku ya kwanza baada ya kutoka Chato