BBC Swahili ya enzi hizo!

Acha ujuha wewe

Tatizo umezaliwa 2000s
 
BBC swahili wamezidi utoto kwenye kipindi
 
Kuna yule mama ana sauti nzito kama ya kiume.... alitoka IPP akaenda BBC. Alikuwa anasoma taarifa ya habari siku za jumamosi mechi ikiwa inatangazwa.
Yule alikuwa DW Bana siyo BBC UMMY HERI MPKA LEO YUPO
 
kweli mkuu inaboa sana aisee na vile vimijadala vyao havieleweki kbs....
 
Inanikumbusha kila nikiamka kwenda shule nafungulia redio kwanza,12:30 kipindi kikisha ndo naenda shule.

Asubuhi imefika, jua linaanza kuchomooza, amkeni kumekucha aah aah amka na bbc.
 
Manase Lukungu.
 
vip sasa hivi
 
Saivi BBC wamechukua kifaa kipya kutoka DW, Caro Robi. Ana bahati sana kuunganisha radio mbili mfululizo. Ni mkenya ila namkubali sana.
 
Lubunga Byaombe sijui yuko wapi yule jamaa. Nilikuwa nasikiliza sana BBC Swahili kuanzia 2007..Tumbo risasi.
Byaombe Mara ya mwisho nilisikia ni mwandishi wa rais mstaafu wa DRC-Kabila Joseph
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…