BBC Swahili Tumewachoka!


Lakini walicho ripoti bbc ni kweli kabisa kwani saiz dola moja ni sawa na zaidi ya sh 2000 za kitanzania
 
Unaukataa ukweli? Tz shilingi ni sheeder, haina thamani dhidi ya dola toka mwaka juzi 2200/= au una asilimia ya ubishi
 
ukweli unauma
 
Salim kikeke unafanya nini huko katika nchi ya majahili? Njoo kwenye amani bwanaa utapewa kazi na milionea Bakhresa
 
Hii ni myth ' Wakenya wasiojua Kiswahili' Yaani nyie Kiswahili chenu cha gali, nzuli, mshahala, kula (kura) ndiyo Kiswahili? Kenya hutoa kila mwaka wanafunzi 4000 waliohitimu BA ya Kiswahili. Nyie blabla blaaaaa

Umeandika pumba mzee, nenda chekechea kajifunze lugha
 
Kwani si kweli mkuu? Haya yote ni kuwakumbatia MACCM na nakuhakikishia Watanzania wakikabidhi nchi hii tena kwa CCM 2020 tutatumia dola badala ya shilingi..
unadhani nchi ikabidhiwe kwa nani. toa ushauri hapa hapa. usiropoke alafu unaingia mitini
 
Kuna watu wanahofia mambo yao kutaja hadharani kuliko wao kuyatenda hayo mambo...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…