Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 21,627
- 43,007
Kila nikisikiliza BBC Swahili ninachosikia ni 80% ya habari zao zinahusu Uislam,Waislam na mambo yanaohusiana na imani hiyo.
Hii haijaanza jana wala majuzi lilipoibuka kundi la IS ila ni kuwa inaonekana wao hizo ndizo habari kipaumbele chao wanazotaka kulisha wasikilizaji wa idhahaa hiyo ya Kiswahili.
Swali langu hivi BBC Swahili hamuoni habari zaidi ya hizo kiasi cha kushehenesha 80% ya habari zenu kuhusiana na Uislam, Waislam na mambo yanayohusiana na dini hiyo?
Au ndio kusema nyie mmekuwa news outlet au kisemeo cha Waislam?
Hii haijaanza jana wala majuzi lilipoibuka kundi la IS ila ni kuwa inaonekana wao hizo ndizo habari kipaumbele chao wanazotaka kulisha wasikilizaji wa idhahaa hiyo ya Kiswahili.
Swali langu hivi BBC Swahili hamuoni habari zaidi ya hizo kiasi cha kushehenesha 80% ya habari zenu kuhusiana na Uislam, Waislam na mambo yanayohusiana na dini hiyo?
Au ndio kusema nyie mmekuwa news outlet au kisemeo cha Waislam?