Nimekua mfuatiliaji wa habari na makala mbali mbali toka tovuti ya BBC swahili kwa zaidi ya miezi sita sasa. Leo nimetahamaki kuona habari ambayo imechapishwa na chombo kikubwa kama hiki ikiwa na makosa ya kiuandishi katika aya ya kwanza. Habari hii imekaa zaidi ya masaa mawili ikiwa na makosa hayo
Najua hua mnapita humu jukwaani, haririni habari hii.
Najua hua mnapita humu jukwaani, haririni habari hii.