Nenda IFM ukagegedwe na wakware wa mjini kati
Eh msarikie hall litawakimbiza na pale ICU icho chuo hakuna utani shule kama primary vile vipindi mfululizoKaribu Mwenge Catholic University (MWECAU)
BBAM Iko vizuri njoo fasta usajili mwisho Nov14
Wakuu kati ya BBA(Bachelor in business administration)MWENGE UNIVERSITY na Bachelor of science in taxation IFM ipi ni sawa, bora na marketable kwa usawa huu
Ukifika mwenge ulizia kwa baba Joshua ukipaona we kula wakikudai pesa wajibu umelipiwa
Ndo tunakimbizana nalo asahivi mkuuEh msarikie hall litawakimbiza na pale ICU icho chuo hakuna utani shule kama primary vile vipindi mfululizo
Hahaha kaza msuli haponshule kama primary !! Hakuna cha makongamano wala muvi ni kitabu kama vita ... Nimelimic tupe tu longuo maana kuna mitope huko ...viva Mwuce a.k.a mwecauNdo
Ndo tunakimbizana nalo asahivi mkuu
zaidBBA nadhani itapendeza
Ah we usiseme vyuo vya uchochoron wakat TCU ndio wamevisajili na watu competent and brain zao smart wqmepelekwa ktk vyuo ivyo na same graduate na same ajiriwa ktk big firms nchin .....Ushauli wangu kasome TAX sababu Kwa Tanzania no Vyuo viwili tu ambavyo vinatoa hii course, alafu hiyo BBA mpaka Hivi vyuo vya uchocholoni vinatoa naamini itakusumbua kwenye ushindani Wa Ajira. Kuhusu kujiajiri asikudanganye MTU ata Taxation unaweza kujiajiri I believe tho. IFM is the best
Thank youIFM BTX, Been there done that na nipo TRA kwa sasa. Komaa upate 3.5 and above, kila mwaka auditing firms big 4 ( KPMG, PWC, EY, na DT) Wanakuja kuwachukua wenye hizo GPA kwenda kuwasaili kwa ajiri ya kazi. If you're smart enough utamaliza chuo na kazi mkononi.
Mi nlishaga confirm kitambo IFM since october sema ndo ivo tu option nyingne ilikuja ya kuregister chuo chochote ulipochaguliwa thats y nikauliza but frm the bottom of ma heart i love taxation n nmesoma diploma yake ITAAlafu Leah Mbona mda Wa Kuconfrrm ushaisha we mpaka Leo unajiuliza wapi uende wkt watu washaanza kusoma na TCU waliweka deadline Mwisho tarehe 1