Kwa Arusha naona jina bazoka ndio maarufu zaidi, aidha wengi utumia Big G kwa aina zote za chew gum mkoani hapo... Kama linatumika basi ni kwa sehemu chache sana mjini humo..
Ama kwa Singida sijapata kabisa kusikia matumizi ya ubani wa kutafuna, labda katika miaka hii, kwani nilipita huko kitambo kidogo.