engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF
kiukweli hawa BAYPORT hawana huruma kabisa hususani kwa wazazi wetu wasioelewa nini maana ya mkataba,
BAYPORT wamemrubuni mzazi wangu(MWANAHEWA HASSAN MTOLERA) ambaye ni mwalimu pale MPWAPWA-DODOMA na kumfanya akope laki moja unusu(150,000),lakini cha kushangaza BAYPORT wanamkata mzazi wangu laki nane (800000) yaani analipa mara tano ya ile pesa aliyokopa,sasa je huko ni kumsaidia ama kumwibia?
kwanini BAYPORT msitafute pesa zenu kiharali kabisa pasi kuwaibia wazazi wetu kwa kuwapa mikataba isiyo onekana?
wanasheria naomba msaada wetu,nahitaji kuwapeleka mahakamani BAYPORT kwani wakifanyacho ni unyonyaji na hakitakiwi kufumbiwa macho
LEO NI MZAZI WANGU,KESHO ATAKUWA MZAZI WAKO
kiukweli hawa BAYPORT hawana huruma kabisa hususani kwa wazazi wetu wasioelewa nini maana ya mkataba,
BAYPORT wamemrubuni mzazi wangu(MWANAHEWA HASSAN MTOLERA) ambaye ni mwalimu pale MPWAPWA-DODOMA na kumfanya akope laki moja unusu(150,000),lakini cha kushangaza BAYPORT wanamkata mzazi wangu laki nane (800000) yaani analipa mara tano ya ile pesa aliyokopa,sasa je huko ni kumsaidia ama kumwibia?
kwanini BAYPORT msitafute pesa zenu kiharali kabisa pasi kuwaibia wazazi wetu kwa kuwapa mikataba isiyo onekana?
wanasheria naomba msaada wetu,nahitaji kuwapeleka mahakamani BAYPORT kwani wakifanyacho ni unyonyaji na hakitakiwi kufumbiwa macho
LEO NI MZAZI WANGU,KESHO ATAKUWA MZAZI WAKO