bahati30
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,625
- 883
Kwa thread ambazo nimezisoma hakuna anayesifia huduma yenu ya mikopo. Na kama mmefanya maboresho nani anayafahamu? au mmeyakalia kwenye viti vyenu? Vile vile inaonekana hakuna uwazi kwenye huduma yenu ya mikopo. ACHA KUPOTOSHA UMMA KWA MASLAHI YAKO BINAFSI NA USITAKE WENZAKO WAPOTEE. SHAURI KIKAMILIFU KWA MAENDELEONdugu mteja huduma zetu zimeboreshwa acha kusikiliza maneno ya mtaani kwa watu ambao hata sifa ya kukopa hawana ndo mana unasikia sijui mama alikopa ,achana na majumbu njoo ukope kwa faida yako
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums