BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,481
Wazee wa mbeleko naona wamepita kwa kuwekewa ngazi kabisaa!! teh! teh!
Umeona eee kama kawaida yao , bila ya hivyo nothing!
Wazee wa mbeleko naona wamepita kwa kuwekewa ngazi kabisaa!! teh! teh!
Real wamebebwa kudadeki, alaf jitu linafunga goli LA penalt linashangilia linavua shati. Refa ni bure liver chukueni hiyo ndoo
Angalia huyu nae, INTER imetoka wapi tena!! Huyu Ronaldo wenu kawafanya mpaka mnasahau timu zilizofuzu
We jamaa una macho au vidonda
Imeandikwa UEFA 1981
Amevizia magoli 120 yote? bas ana stahili kupewa Ballon dorAlafu jamaa atapewa ballon kama masihara hivi, na hakuna cha ajabu alichoonyesha...yani Ashukuru Mungu timu inambeba sana huyu mviziaji. Otherwise angelikuwa anashindia golini anapiga story na kipa. Nyambaff kabisa!
Umeona eee kama kawaida yao , bila ya hivyo nothing!
Ushabiki unakufanua ujitoe akili, ulitaka refareee apate au?Madrid bila kubebwa ni wepesi mno kama CCM bila police
Unakufanua ndyo nini?Ushabiki unakufanua ujitoe akili, ulitaka refareee apate au?
Daaah. Hicho ulichofananisha na Madrid....Madrid bila kubebwa ni wepesi mno kama CCM bila police
Wote wazee wa kubebwaDaaah. Hicho ulichofananisha na Madrid....
Wewe mipira unahadithiwa hata hauanglii krosi iliyo zaa penalti ulipiga wewe niniAlafu jamaa atapewa ballon kama masihara hivi, na hakuna cha ajabu alichoonyesha...yani Ashukuru Mungu timu inambeba sana huyu mviziaji. Otherwise angelikuwa anashindia golini anapiga story na kipa. Nyambaff kabisa!
Atafute collection ya haya magoli 120 ndio atajua jamaa anavyovizia.Amevizia magoli 120 yote? bas ana stahili kupewa Ballon dor
ana mihemko huyu mtu ambaye angemsumbua madeid katika ubingwa wake ni Barcelona tu
Wewe mipira unahadithiwa hata hauanglii krosi iliyo zaa penalti ulipiga wewe nini