Bawasiri ya ndani na tiba yake

Bawasiri ya ndani na tiba yake

Tprecious

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2018
Posts
262
Reaction score
350
Kwa anayefahamu dawa yake naomba anisaidie mana imesababisha kinyama kitoke Hali inayosababisha maumivu makali,Minpo Dodoma ingawa hapa Dodoma kuna dawa zike za wasuni ila sijazijaribu naombeni ushauri wenu mana operation siitaki kabisa
 
Dawa nakuletea mpaka kwako ukiwa dar ukiwa mkoani inatumwa
 

Attachments

  • Screenshot_2025-07-27_165643.jpg
    Screenshot_2025-07-27_165643.jpg
    246.1 KB · Views: 32
  • Screenshot_2025-07-27_165643.jpg
    Screenshot_2025-07-27_165643.jpg
    246.1 KB · Views: 29
Kwa anayefahamu dawa yake naomba anisaidie mana imesababisha kinyama kitoke Hali inayosababisha maumivu makali,Minpo Dodoma ingawa hapa Dodoma kuna dawa zike za wasuni ila sijazijaribu naombeni ushauri wenu mana operation siitaki kabisa
Bawasiri inapona yenyewe, cha msingi hakikisha hupati maambikizi ya bakteria au fangus. Unaweza kujisafisha vizuri na sabuni na kujiloweka kwenye beseni lenye maji ya vuguvugu yenye chumvi baada ya muda ule uvimbe unanywea wenyewe.
 
Kwa anayefahamu dawa yake naomba anisaidie mana imesababisha kinyama kitoke Hali inayosababisha maumivu makali,Minpo Dodoma ingawa hapa Dodoma kuna dawa zike za wasuni ila sijazijaribu naombeni ushauri wenu mana operation siitaki kabisa
Tumia hii dawa, Nenda kwenye pharmacy kubwa

. Euphorbia prostrata Extract Tablets(hii utakuwa unakunywa) na
. Euphobia prostrata extract gel ( hii utakuwa unapaka)
 
0712505049
 

Attachments

  • Screenshot_2025-07-27_165624.jpg
    Screenshot_2025-07-27_165624.jpg
    244.5 KB · Views: 31
Kwa anayefahamu dawa yake naomba anisaidie mana imesababisha kinyama kitoke Hali inayosababisha maumivu makali,Minpo Dodoma ingawa hapa Dodoma kuna dawa zike za wasuni ila sijazijaribu naombeni ushauri wenu mana operation siitaki kabisa
Nichek pm
 
Back
Top Bottom