respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,843
Inavutia sana, Wakati ccm wakitumia nguvu ya mtu mmoja kukijenga chama Chadema kila mtu ni mpambanaji.
Kwa leo tu ninataarifa za mukutano zaidi ya minne sehemu mbalimbali..
Hapa, Bavicha Kigamboni
Pale, Mnyika Mtwara
Kule, Mawazo Meatu
Huku,Oparesheni Imba ukombozi
Mwaka huu sijui tu, Ole wao waseme kura hazijatosha...!!!!
BACK TANGANYIKA
Kwa leo tu ninataarifa za mukutano zaidi ya minne sehemu mbalimbali..
Hapa, Bavicha Kigamboni
Pale, Mnyika Mtwara
Kule, Mawazo Meatu
Huku,Oparesheni Imba ukombozi
Mwaka huu sijui tu, Ole wao waseme kura hazijatosha...!!!!
BACK TANGANYIKA