pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 221
- 431
HaaaaaaaaaaSijui kama kuna mtu anajua kama jeshi la Magereza ni muongoni mwa majeshi yenye mazoezi makali pamoja na kuwa na kikosi maalum (special forces)
Kwa taarifa yako Kikosi maalumu cha Magereza hata FFU aende shule ya PHD ya mazoezi ya Viungo hawapati ng'ooo.
Sasa nani mkali polisi anaenda kuwakamata wakiwa kwenye free zone, wakiwa hawajaumizwa, wakiwa na silaha na magereza anayekuja kuwatunza wakiwa tayari wamelegezwa na polisi, wameisha wanyanganaya silaha na kuwatia pingu.Kwa taarifa yako Kikosi maalumu cha Magereza hata FFU aende shule ya PHD ya mazoezi ya Viungo hawapati ng'ooo.
Kile kikosi kimekamilika kila Idara kuanzia matumizi ya Viungo mpaka matumizi ya Silaha, isingekuwa hivyo hao Majambazi Sugu, Makomando, Wachina wacheza taekondo wangesumbua gerezani lkn weeeeeeeeeee kichapo tuuuu.
Watu wamekula vifuti mpaka kuvunjwa mkono( ingawa natamani wangevunja mguu) baada ya kwenda kufanya fujo kwenye geti la Magereza.Hivi nini kilitokea?!
KM kazi yake ni kutuliza ghasia zinazosababishwa na wafungwa.Kwa taarifa yako Kikosi maalumu cha Magereza hata FFU aende shule ya PHD ya mazoezi ya Viungo hawapati ng'ooo.
Kile kikosi kimekamilika kila Idara kuanzia matumizi ya Viungo mpaka matumizi ya Silaha, isingekuwa hivyo hao Majambazi Sugu, Makomando, Wachina wacheza taekondo wangesumbua gerezani lkn weeeeeeeeeee kichapo tuuuu.
This is a mistake you're trying to made, Police ana mafunzo maalumu ya namna ya kukabiliana na wahalifu wenye silaha na wasio na silaha haya mafunzo P.O hana ndio maana wamejaribu kidogo tu kudili na raia wamewaumiza vibaya sana.Sasa nani mkali polisi anaenda kuwakamata wakiwa kwenye free zone, wakiwa hawajaumizwa, wakiwa na silaha na magereza anayekuja kuwatunza wakiwa tayari wamelegezwa na polisi, wameisha wanyanganaya silaha na kuwatia pingu.
Sent using Jamii Forums mobile app
trying to made XThis is a mistake you're trying to made, Police ana mafunzo maalumu ya namna ya kukabiliana na wahalifu wenye silaha na wasio na silaha haya mafunzo P.O hana ndio maana wamejaribu kidogo tu kudili na raia wamewaumiza vibaya sana.
P.O ana mafunzo maalumu ya kumrekebisha tabia mnyoli kwa njia zote Askari polisi hana mafunzo ya kumrekebisha mtu tabia ndio maana huwezi kukuta Polisi anaitwa mzee na muhalifu au mfungwa ila P.O muhalifu yoyote atamuita mzee!
Hao wanawake hata wewe wakikuongelea lazima manyigu yakujae kichwani,wana maneno ya shombo hao hatari sasa wameonyeshwa trela kidogo.YAANI MWANAUME MZIMA UNAPIGANA NA MWANAMKE ALIYEVAA CHUPI TU nchi hii Ina laana