Bavicha temeke watoa tamko


Afu we pi*bi wacha mambo ya kidemu nani kakuambia ametishwa? Siku zinasogea hivoo zikiisha ndio hivyo. Aache kutumia vibaraka wake kutoa mishuzi ovyo
 
Last edited by a moderator:
Huyu ni Mwwenyekiti wa Mkoa ama Wilaya Bavicha Temeke? Au huku ni mjumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu? Haijuihata katiba ya chama chake ? Aseme kifungu gani kimekiukwa ? Sio porojo kama za MACCM ,,,,,,,

Eti naye Kiongozi dah! Hata uenyekiti w nyumba kumi ni Hatar.
 
Hahahahahahahahahhahahahaha

Yaani na wewe unajiweka humo!!!!!

Ama kweli dunia haiwezi kuisha vituko.
Ritz FaizaFoxy THE BIG SHOW mmeona kijana muashi? Huyu ni mlaghaika, umuhimu wake ni kuongeza idadi ya watu kwenye maandamano tu!!!

Haaa! ZeMarcopolo ww unajua ni kijana mcute sana sikutegemea kuwa bongo yako imejaa kamasi
Na wewe uwa unatumika kufanya nini kijana mcute?
 
Last edited by a moderator:
Mbona vijana mnatokwa povu si muache ZZK wenu ajibu barua ya tuhuma, kama hawezi mmsaidie kujibu ya nini kuonyesha upuuzi wenu hapa jamvini???
Au bado fedha za TISS zinafanya kazi??
 

Naomba ziongezwe siku kumi na nne nyingine tuwajue wengi zaidi... Njaa mbaya sana jamani hasa kwa vijana kama hawa wanaotaka shortcut... Tutawajua weng sana mlio kwenye mgao... Tunawasubilia na wengine.
 
Kwa hizi siasa endeleeni kufaidi ruzuku. Ruzuku ikifutwa hamna kitu chadema.

Watu wana recoup investments zao. Hamna kumkomboa mtanzania maskini. Hakuna demokrasia. Uhuni mtupu
 
Elsfu saba saba za kuwalipa kila mkiandika humu zitasita ruzuku ikikata. Tafuteni kazi ya kufanya
 
Hahahahahahahahahhahahahaha

Yaani na wewe unajiweka humo!!!!!

Ama kweli dunia haiwezi kuisha vituko.
Ritz FaizaFoxy THE BIG SHOW mmeona kijana muashi? Huyu ni mlaghaika, umuhimu wake ni kuongeza idadi ya watu kwenye maandamano tu!!!

mbona unadharau kwa baba yako au hujui ,au hayo mandevu yanakupa kibuli..
 
Last edited by a moderator:
Fundi muashi ndie mshauri mkuu wa intelejesia ya chadema. Jason
 
Unachosha wasomaji bana! Una quote lipage loote wala huna cha maana anachoandika,katumwa na nani unadhani watu woote ni misukule kama wewe, bila ZZK hakuna CDM, haya nasubiri hayo matusi yenu maana mkizidiwa hoja mnaishia kutukana tu.

Wewe ndiye haswa msukule maana kupewa hiyo b7 umejisahau na hata ndugu zako wa vijijini ambao ni maskini wa kutupwa umewasaliti!Unashindwa kulalamikia ongezeko la umeme unakaa kumtetea bwana wako zzk?Kama mnamuona ni mzuri ci mumchukue kwenye chama chenu?
 
Haina shida mkuu wewe umechukua chako , ingefurahi km ungeondoka moja kwa moja
na tutawasikia wengi tu ,maamuzi yako sahihi zito hana lolote , na kukumbusha tu uwe
umechua pesa yakutosha vinginevyo wambie wakuongeze,

pili njoo kwetu sisi wanachama utwambie huo uogoro wako ilitukuelewe vizuri'
kinachonitia imani bado wapenzi wa chadema tuko imara.

 
Mbona vijana mnatokwa povu si muache ZZK wenu ajibu barua ya tuhuma, kama hawezi mmsaidie kujibu ya nini kuonyesha upuuzi wenu hapa jamvini???
Au bado fedha za TISS zinafanya kazi??

kamanda, hata kuku ukimkata shingo halafu ukamwachia unajua nini kitatokea ndicho kinachotokea kwa pm7+uvccm+ team zitto...
 
Iwapo viongozi kama hawa watapewa fursa ya kuongoza Bavicha Taifa basi chama na nchi kwa ujumla itapiga hatua kubwa ya maendeleo...

kwa nini wasiongozd uvccm mkuu?
Hahahaaa! Haya bwana patrick umesikika.
 
Unachosha wasomaji bana! Una quote lipage loote wala huna cha maana anachoandika,katumwa na nani unadhani watu woote ni misukule kama wewe, bila ZZK hakuna CDM, haya nasubiri hayo matusi yenu maana mkizidiwa hoja mnaishia kutukana tu.

Hapa na wewe unatofautiana nini na MSUKULE? If ZITTO is your mentor then you are a BIG LOOSER!!
 
Mtapiga kelele sana, kisha mtatulia Kama Madiwani waliotimuliwa Arusha, halafu tutawasahau na kusonga mbele.
 


Msema kweli kipenzi cha mungu.
 

acheni mawazo mgando nyie akili za panzi bavicha jibu hoja sio kila anaekosoa chadema katumwa au anatumika...
 
Yona Joseph ninamfahamu vizuri sana ni homeboy wangu. Nina shauku ya kujua sababu zilizomsukuma kutoa tamko hili na ningeweza "kubet" sababu za yeye kutoa tamko hili lakini kwa leo sitasema chochote hadi nitakapoongea naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…