Nimeambulia kitu humu.. Mbona watu wa CHADEMA wakiandika vitu ukavisoma Yaani vinaeleweka kabisa.. Tofauti Na M-CCM , akiweka bandiko ukalisoma Yaani hadi kichwa kinakuuma, post Za William, Nape Na mask zao zote, ukisoma hadi unajiuliza hivi huyu Mtu kweli ana akili au karogwa..
Siongelei kishabiki lakini wewe soma tu lazima wakukere, hakuna mwenye uwezo Wa kujenga hata robo ya Hoja.. Naamini sasa wenye akili wote wameshahama ccm.. True
Wanachotofautiana kabisa miongoni mwao ni uwezo wa kujenga hoja, upeo, hadhi, elimu, uzoefu, fikara na kiwango cha uungwana. Nape kapata malezi ya kiuongozi kutoka kwa wazazi wake na uzoefu wa uongozi kupitia Chama chake.
CCM, iko wapi Mali emper? Uko wapi utawala wa RUMI ulio kuwa na nhuvu za ajabu? Uko wapi utawala wa Shaka zuzu? Iko wapi Soviet Union? Iko wapi KANU?
Jamaa watakuja kuvuna aibu ya Kipee siku moja, na TBCCCM yao na Star TVCCM watakuja vuna aibu, wajifunze yaliyo tokea kule Zambia
TUNTE leo yupo off, msubirini kesho.