Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Vijana msilale, lale lale. Vijana msilale, bado mapambano! Mapambano, mapambano!
"Na sisi hatulali,lali lali.Na sisi hatulaliii,bado mapambano!
Huu ni wimbo Maarufu ambao ulitamba nchini Kenya katika liberation movements RIP Otieno Kajwang
Baraza la Vijana la CHADEMA ,BAVICHA linabeba dhamana kubwa sana ya kuitikia chorus katika wimbo huo wa Otieno Kajwang.Mapambano bado yanaendelea ,tena ndio yamepamba moto.Lakini kwa nini BAVICHA imelala?
BAVICHA inabeba matumaini makubwa kwa taifa hili ambalo kwa takwimu za sensa ya mwaka 2012 ni taifa la vijana.
Sensa ya mwaka 2012 ilionesha taarifa zifuatazo
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Umri
[/TD]
[TD]Idadi ya watu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 0-4
[/TD]
[TD]7,273,832
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 4 hadi 14
[/TD]
[TD]12,451,624
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muaka 14 hadi 17
[/TD]
[TD]2,779,070
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 17 hadi 60
[/TD]
[TD]18,179,978
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 60 hadi 65
[/TD]
[TD][TABLE="width: 145"]
[TR]
[TD] 2,507,568
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 65 na kuendelea
[/TD]
[TD]1,736,851
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Jumla
[/TD]
[TD]44,928,923
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ukisoma Takwimu hizo za baraza la taifa la Takwimu (National Bureau of Statistics | Statistics for Development) ni kwamba zaidi ya watanzania milioni 30 ni Vijana.Hawa ndio BAVICHA inabeba matumaini yao yote.
Kati yao Milioni 22 ni vijana na watoto chini ya miaka 17.BAVICHA ianabeba matumaini yao.
BAVICHA Inatakiwa itambue kwamba serikali iliyopo imeshindwa kulisaidia taifa hili hasa katika hali ya maisha ,elimu,afya ,ajira,kuondokana na subsistence economy n.k
BAVICHA walifanya Uchaguzi mwishoni mwa mwaka jana na kupata viongozi wapya
Cha kushangaza sana baraza hili limekuwa kimya kupita kiasi....hakuna kazi zozote zinazoonekana kufanywa na baraza hili....Tulitarajia katika wakati huu vijana hawa wangekua field kuhamasisha wananchi katika mazoezi anuwai ya kitaifa....hasa ukiwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu...hatujasikia comment zozote za BAVICHA katika maswala mazito yaliyolikumba taifa....Naomba kukumbusha...Taifa letu ni taifa la Vijana...YOUTH agenda sio ya kukwepa...Wameshindwa kujua kuwa wanabeba matumaini ya idadi kubwa ya Vijana.?
Nauleta huu uzi kwenu ili tuweze kuchambua na kuliweka wazi tatizo la BAVICHA ili waweze kulisaidia taifa kuvuka katika mkwamo huu.
[h=1][/h]
"Na sisi hatulali,lali lali.Na sisi hatulaliii,bado mapambano!
Huu ni wimbo Maarufu ambao ulitamba nchini Kenya katika liberation movements RIP Otieno Kajwang
Baraza la Vijana la CHADEMA ,BAVICHA linabeba dhamana kubwa sana ya kuitikia chorus katika wimbo huo wa Otieno Kajwang.Mapambano bado yanaendelea ,tena ndio yamepamba moto.Lakini kwa nini BAVICHA imelala?
BAVICHA inabeba matumaini makubwa kwa taifa hili ambalo kwa takwimu za sensa ya mwaka 2012 ni taifa la vijana.
Sensa ya mwaka 2012 ilionesha taarifa zifuatazo
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Umri
[/TD]
[TD]Idadi ya watu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 0-4
[/TD]
[TD]7,273,832
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 4 hadi 14
[/TD]
[TD]12,451,624
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muaka 14 hadi 17
[/TD]
[TD]2,779,070
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 17 hadi 60
[/TD]
[TD]18,179,978
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 60 hadi 65
[/TD]
[TD][TABLE="width: 145"]
[TR]
[TD] 2,507,568
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 65 na kuendelea
[/TD]
[TD]1,736,851
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Jumla
[/TD]
[TD]44,928,923
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ukisoma Takwimu hizo za baraza la taifa la Takwimu (National Bureau of Statistics | Statistics for Development) ni kwamba zaidi ya watanzania milioni 30 ni Vijana.Hawa ndio BAVICHA inabeba matumaini yao yote.
Kati yao Milioni 22 ni vijana na watoto chini ya miaka 17.BAVICHA ianabeba matumaini yao.
BAVICHA Inatakiwa itambue kwamba serikali iliyopo imeshindwa kulisaidia taifa hili hasa katika hali ya maisha ,elimu,afya ,ajira,kuondokana na subsistence economy n.k
BAVICHA walifanya Uchaguzi mwishoni mwa mwaka jana na kupata viongozi wapya
Cha kushangaza sana baraza hili limekuwa kimya kupita kiasi....hakuna kazi zozote zinazoonekana kufanywa na baraza hili....Tulitarajia katika wakati huu vijana hawa wangekua field kuhamasisha wananchi katika mazoezi anuwai ya kitaifa....hasa ukiwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu...hatujasikia comment zozote za BAVICHA katika maswala mazito yaliyolikumba taifa....Naomba kukumbusha...Taifa letu ni taifa la Vijana...YOUTH agenda sio ya kukwepa...Wameshindwa kujua kuwa wanabeba matumaini ya idadi kubwa ya Vijana.?
Nauleta huu uzi kwenu ili tuweze kuchambua na kuliweka wazi tatizo la BAVICHA ili waweze kulisaidia taifa kuvuka katika mkwamo huu.
[h=1][/h]