LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,388
Miaka 20-30 ijayo mifuko ya jamii itafirisika. CCM idhbitiwe haraka kutumia hela za hizi mifuko.
Mkubwa umenena haswaaaaaaa!!!!!!
Miaka 20-30 ijayo mifuko ya jamii itafirisika. CCM idhbitiwe haraka kutumia hela za hizi mifuko.
Hahaha hahaha unajaribu kuwagawanya wapiganaji. Acha hizo. Hautaweza.
Hatutaki takwimu za Act na michepuko yake
Hoja hii ni ya msingi sana. Hatuoni kazi ya uongozi wa Bavicha hadi sasa. Kweli amkeni unganisheni vijana, hamasisheni watu kujiandikisha, ingieni vijijini, changisheni fedha za kampeni. Fanyeni kazi banaaaa!!
Asante Kiongozi wangu kwa kunifahamisha. Nimefunguka machoOperesheni Delete CCM ambayo iliwaonesha CCM 'rangi zote' kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ilisimamiwa na BAVICHA waliokwenda kwa staili ya infantry (wakati Mwenyekiti wa Taifa na Katibu Mkuu Dk. Slaa wakipiga angani), mikoa ya Dodoma, Morogoro, Singida, Tabora, Katavi, Kigoma.
Majuzi wamefanya ziara ya mkoa mzima wa Kagera ambako walizindua operesheni kubwa itakayosambaa nchi nzima kuhusu kujiandikisha na kupiga kura, na sehemu ya Geita. Infantry kaka ndiyo inayoongoza vita.
Wakati unasubiri kuwaona 'wakipiga makelele', vijana wanakwenda chini kwa chini na athari yao kote wanakopita majibu wanayo CCM.
mkuu,pengine sijui mkakati unaoendelea hapa,nimeona majibizano ya hawa jamaa na Ben kwenye thread moja hv,sasa nashangaa huyu Chadema kwanza anamshambulia kila mtu aliekua upande wa Ben.
Samahani kama na mm nitakua msaliti kwa hili.
ALL IN ALL MAKAMANDA TUSIRUHUSU MGAWANYIKO MUDA HUU!
Asante sana Kamanda wangu wa habari ukweli utatuweka huku na sita vumilia mtu yoyote anaye kwenda kinyume na chama Changu
Sio kila anayetifautiana na wewe kimtazamo nankifikra basi unampa jina la ACT au msaliti, hizo sio siasa mkuu.
Operesheni Delete CCM ambayo iliwaonesha CCM 'rangi zote' kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ilisimamiwa na BAVICHA waliokwenda kwa staili ya infantry (wakati Mwenyekiti wa Taifa na Katibu Mkuu Dk. Slaa wakipiga angani), mikoa ya Dodoma, Morogoro, Singida, Tabora, Katavi, Kigoma.
Majuzi wamefanya ziara ya mkoa mzima wa Kagera ambako walizindua operesheni kubwa itakayosambaa nchi nzima kuhusu kujiandikisha na kupiga kura, na sehemu ya Geita. Infantry kaka ndiyo inayoongoza vita.
Wakati unasubiri kuwaona 'wakipiga makelele', vijana wanakwenda chini kwa chini na athari yao kote wanakopita majibu wanayo CCM.
Wimbo uliounukuu haujatoka nchi jirani ila tuliumba sana hapa nchini miaka ya 60s na 70s mashuleni na JKT wakati wa kukimbia machakamchaka. Nyimbo nyingine maarufu zilikuwa za kumlaani nduli Iddi Amin na Banda wa Malawi pia kuna nyingine na vibwagizo kibao kama "kaburu akija chija"
Chadema hatuna hofu yoyote na uwepo wa Act tunajua hicho kikundi cha wahuni na wasaliti hawawezi kufika mbaliMm ninachoshangaa kama Chadema inakuwa kwanini inahofu uwepo wa ACT.Hii ni nchi ya Demokrasia,acheni kila mtu awe huru.
Sita Tetereka na watu kama nyie sanasana tutawa delete kwenye operation delete ccm