Baraza la Vijana @ChademaTz (BAVICHA) kesho Januari 04, 2022, saa tano kamili asubuhi litazungumza na watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Dar es salaam. Vyombo vyote vya habari vinakaribishwa.