BAVICHA Kujirudia ya 2009

BAVICHA Kujirudia ya 2009

mwenyekiti bavicha ni DANIEL NAFTALI wa RUKWA
katibu wake PAUL CHACHA MAKULI wa MARA

hao ndio chaguo la chama
 
Mtoa mada pole, DANIEL NAFTARI amekuwa makini sana kutokiuka kanuni na taratibu katika kinyang'anyiro hiki, ameanza kampeni ndani ya muda. Wajumbe wote wa mkutano wanasafirishwa na chama kwa kupewa refund ya nauli zao na si vinginevyo
 
Intelejensia ya Chama ikimbaini ana element za Usaliti na Aondolewe kabisa..hakuna kulealea wasaliti kwa kuhofia eti itaonekana mshindi tayari kapangwa...Shame on you Wasaliti.
 
mwenyekiti bavicha ni DANIEL NAFTALI wa RUKWA
katibu wake PAUL CHACHA MAKULI wa MARA

hao ndio chaguo la chama
ni vizuri cdm wakaweka maslahi mapana ya taifa na chama mbele kuliko maslahi ya watu binafsi, ni vizuri mwenyekiti wa bavicha taifa akatoka nyanda za juu kusini au kusini, pia katibu ni afadhali akatoka kanda nyingine ili kukifanya chama kuwa cha kitaifa zaidi!
 
Baraza la vijana lililopita halikufanya kazi zake kwa uhuru, lilijiegemeza mgongoni kwa viongozi! Kwa mfano mwenyekiti Bavicha anayemaliza muda wake hajawahi kufanya ziara ya kujenga chama mikoa ya kusini kama ruvuma na hata iringa. Tunaomba viongozi wa bavicha wapya wajitaidi kufanya oparesheni nchi nzima bila kutegemea viongozi wa juu!
 
Baraza la vijana lililopita halikufanya kazi zake kwa uhuru, lilijiegemeza mgongoni kwa viongozi! Kwa mfano mwenyekiti Bavicha anayemaliza muda wake hajawahi kufanya ziara ya kujenga chama mikoa ya kusini kama ruvuma na hata iringa. Tunaomba viongozi wa bavicha wapya wajitaidi kufanya oparesheni nchi nzima bila kutegemea viongozi wa juu!

wacha kudanganya wewe,iringa,njombe ,mby ,rukwa na ruvuma ameshatembelea labda lindi na mtwara
 
Mambo haya!

*Hivi una matatizo gani Ludo naona kwenye post zote za uchaguzi CHADEMA umejitokeza na unabeza ni wazi roho yako haipendi kinachoendelea. Alibaalio Niwe Alikubona, Ne Nkobe Akanyampira Eibale Eti Nokaraba Katagugoba Choka Wakaulila.
 
kama wewe naye ni mgombea basi mchujo uchukue mkondo wake maana sio level yako unachogombea kama una ushahidi nadhani kuna ratiba kamili ya tarehe ya pingamizi na kuwasilisha pingamizi unaitwa na kusikilizwa sasa wewe tuambie uliwasilisha lini?
halafu hii KIGOMA msiendelee kuitumia kama mtaji wenu wa kujenga vichuki na chama kuna watu mnawaharibia sana kwa sababu za tamaha za haraka haraka tu sio kila anayetokea kigoma katumwa na ZITO tafuteni namna ya kutoka kila mtu kwa wakati wake
mi nasema wewe hufai kabisa
 
wacha kudanganya wewe,iringa,njombe ,mby ,rukwa na ruvuma ameshatembelea labda lindi na mtwara
haa haa lini ruvuma alifanya oparesheni ya kujenga chama? Je ni maeneo gani? Acha propaganda katika mambo ya msingi! Tunataka chama kienezwe kote nchini, na hiyo ndo kazi mojawapo ya jumuiya mbalimbali za chama!
 
Katika Uchaguzi kuna kushinda na kushindwa. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti Bavicha wako sijuhi 6, mwenyekiti atakuwa ni mmoja tu na wengine 5 watashindwa. Inabidi watu wawe tayari kukubali kushindwa ilimradi uchaguzi uwe huru na wa haki
 
Back
Top Bottom