BAVICHA Kilimanjaro: Tutakuwepo Dodoma Julai 23 kufanya kazi na Jeshi la Polisi

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898
1.Baraza la Vijana wa chadema(BAVICHA) mkoa wa Kilimanjaro tunaitikia wito na tamko la uongozi wa bavicha taifa - Kushirikiana na jeshi la polisi kutekeleza zuio la mikutano na mikusanyiko ya kisiasa.


2.Julai 23 ni siku ambayo chama cha mapinduzi (CCM)kinatarajia kukutana mjini Dodoma kwa ajili ya kupata mwenyekiti mpya wa chama hicho.Utakuwa ni mkusanyiko wa kisiasa ambao ni kinyume na zuio lililotolewa na jeshi la polisi.



3.Ninatoa maagizo kwa Viongozi wa majimbo,wilaya na kata zote za mkoa wa Kilimanjaro kuandikisha majina ya vijana wanaotakiwa kuwasili Dodoma mapema kabla ya julai 23 ili kujiandaa kushirikiana na jeshi la polisi nchini kutekeleza zuio la mikusanyiko ya kisiasa.


Kibona Dickson.
Bavicha Kilimanjaro.
 
Naunga mkono wazo la Bavicha 100%tutakuwepo dodoma kuanzia tarehe 20.07.2016 kwa kazi maalumu .
Hakuna nguvu inayoweza kushindana na nguvu ya umma siku zote.


TULIANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU
 
Post Kama hizi zikikutana na mtu mmoja anaitwa Chris Lukosi wala haumizi kichwa "nyumbu" mwisho WA kunukuu
 
1.Baraza la Vijana wa chadema(BAVICHA) mkoa wa Kilimanjaro tunaitikia wito na tamko la uongozi wa bavicha taifa - Kushirikiana na jeshi la polisi kutekeleza zuio la mikutano na mikusanyiko ya kisiasa.


2.Julai 23 ni siku ambayo chama cha mapinduzi (CCM)kinatarajia kukutana mjini Dodoma kwa ajili ya kupata mwenyekiti mpya wa chama hicho.Utakuwa ni mkusanyiko wa kisiasa ambao ni kinyume na zuio lililotolewa na jeshi la polisi.



3.Ninatoa maagizo kwa Viongozi wa majimbo,wilaya na kata zote za mkoa wa Kilimanjaro kuandikisha majina ya vijana wanaotakiwa kuwasili Dodoma mapema kabla ya julai 23 ili kujiandaa kushirikiana na jeshi la polisi nchini kutekeleza zuio la mikusanyiko ya kisiasa.


Kibona Dickson.
Bavicha Kilimanjaro.
Karibuni mto mara all nyumbus
 
Swali...Jeshi la policcm limekubali...kujidhibiti...lenyewe..kumbukeni policcm wanafanya kazi kwako maagizo ya ccm aka magamba
 
Hapa tumalizia tamko la Bavicha Mwanza,kesho tutaitisha wana habari.Tumekubaliana kufika Dom 20 kusaidia polisi
 
Msiende kwa makundi,nendeni wachache wachache kwa magari tofautitofauti.Kuweni wapole kama njiwa ila kwenye hekima kama nyoka.Timizeni wajibu wenu,zuieni cccm wasivunje sheria na amri halali
 
Msiende kwa makundi,nendeni wachache wachache kwa magari tofautitofauti.Kuweni wapole kama njiwa ila kwenye hekima kama nyoka.Timizeni wajibu wenu,zuieni cccm wasivunje sheria na amri halali
. Danganya wenzako!!! Nyoka anahekima toka lini??Mpeni Rais hâta mwaka apigekazi bila mausumbufu khaa watoto watundu nyie!!ntawachapa...
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom